Polepole hataki bunge live lakini yeye kutwa yuko kwenye tv

Hawa jamaa (CCM) wanataka wafanye siasa pekee yao. Wameiona hatari ya wananchi kila wakati wakiwaamini wapinzani wao ktk siasa zao.

Bahati mbaya kwa wananchi na nzuri kwao (CCM) ni kuwa nchi hii ng'ombe ni wengi sana. Hivyo ni rahisi kwa kina Polepole kuchezea
 
Hawa jamaa (CCM) wanataka wafanye siasa pekee yao. Wameiona hatari ya wananchi kila wakati wakiwaamini wapinzani wao ktk siasa zao.

Bahati mbaya kwa wananchi na nzuri kwao (CCM) ni kuwa nchi hii ng'ombe ni wengi sana. Hivyo ni rahisi kwa kina Polepole kuchezea
Wiki hii yote,kazi yake ni kushinda kwenye TV,na radio,lkn hataki kabisa kuwaona wengine wakisikika kwenye tv,na radio
 
Polepole inabidi ajue kuwa yuko hapa alipofika kwa sababu ya principle fulani aliyoisimamia vyema huko nyuma!

Kama anataka miaka ijayo kupanda ngazi na kupewa heshima, imani na dhamana kubwa zaidi na umma kanuni ya mafanikio ni ile ile " kusimamia principles"

Kama na yeye atakula kwenye Altare ya ubabe wa Kidikteta na usiginaji wa demokrasia huku akinywea kikombe cha utawala usio wa sheria, basi ajue jamii itamhukumu!.
 
True true. ..
Ashkuru tuko TANZAGIZA kwa huo unafki wake,la sivyo.........
hang.jpg

Ingemhusu.
 
Amuulize Mangula


Kungekuwa na wapinzani wa kweli wenye uwezo,nanyi mnaamini kuwa Polepole kaishiwa hoja mngetumia udhaifu wake kuimarisha mnayoyaamini.Kwa kuwa mu waongo na Humphrey ni wa kiwango kingine mmesalia kulia lia. Huyu si kiongozi wa Serikali tena ni Kiongozi wa CCM,anawalizaje?
 
Kungekuwa na wapinzani wa kweli wenye uwezo,nanyi mnaamini kuwa Polepole kaishiwa hoja mngetumia udhaifu wake kuimarisha mnayoyaamini.Kwa kuwa mu waongo na Humphrey ni wa kiwango kingine mmesalia kulia lia. Huyu si kiongozi wa Serikali tena ni Kiongozi wa CCM,anawalizaje?
hahaha! Sijasema kaishiwa hoja, utakuwa umenimisquote
 
Kungekuwa na wapinzani wa kweli wenye uwezo,nanyi mnaamini kuwa Polepole kaishiwa hoja mngetumia udhaifu wake kuimarisha mnayoyaamini.Kwa kuwa mu waongo na Humphrey ni wa kiwango kingine mmesalia kulia lia. Huyu si kiongozi wa Serikali tena ni Kiongozi wa CCM,anawalizaje?
Wapinzani wakweli wafanyie siasa zao wapi ?! Majukwaa yote yamevunjwa na Media zote zikinusuru mabawa yao kuhofia kufungiwa. Utamlinganishaje na mwanasiasa mwingine hata jukwaa letu pekee (Bunge) liko gizani
 
Back
Top Bottom