Anamaanisha mungu wa ccm ,wanayemuabudu kupitia mwenge Nyamrunda .Hajaanza na herufi kubwa kwa sababu hamzunguzia MUNGU BABA MUUMBA MBINGU NA NCHI bali mungu wa Lumumba
Mungu alifanya makosa mawili makubwa,kwanza anakiri alikosea kumwuumba binadamu ( Mwanzo 6:6) na pili kumfukuza shetani (alikuwa mkuu wa Malaika) toka mbinguni matokeo yake ana wafuasi wengi, pamoja na Polepole, kuliko Mungu Mwenyezi. Shetani tunakutana nae kila siku lakini kwa huzuni Mungu amekata kabisa mahusiano na Binadamu.Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Polepole amekengeuka. Tumbo linamsumbua.Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Jibu unalo ni makazi ya baba yenu Ibilisi shetani .ndiyo maana mnapiga risasi kina Lisu na mnauwa watu amfanywi chochote.Unafikiri Mbinguni kuna wauwaji kama nyinyi? MBINGU ni ya watakatifu kwa kuwa MUNGU ni mtakatifu. Hakuna huu upumbavu wenu wa kuuwa watu.Kwani hapa duniani ambako CCM inatawala ni makao ya nani?
Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Amen...!Bottom line ni kuwa Mungu hafananishwi na kitu chochote. Kumfananisha na kitu chochote ni upumbavu na kama kweli Polepole kasema haya ni lazima atubu, hakina namna!
Ni muhimu kumuomba Mungu kutuepusha na Kiburi cha uzima Mkuu!Si alisema anataka akawe kiongozi wa malaika?
Suluhisho ni kuiondoa sheria ya vyama vingi kwenye katiba ili mambo yajulikane kabisaPolepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Na hapo anaitwa polepole angeitwa HARAKAHARAKA sijui ingekuaje.Nilijua tu ipo siku rangi halisi ya huyu ZUZU itajulikana. Wao ni Mungu na Wapinzani ni Shetani? Kufuru gani hii?? Kujilinganisha na Mungu inaruhusiwa dini gani? Hivi Mchungaji wake amemsikia na bado akienda Kanisani hataambiwa kufuru hii? Viongozi wa dini ifike mahali msimamie viapo vyenu katika kulinda neno la Mungu. Haiwezekani MPUMBAVU mmoja kwa sababu ya madaraka aanze kulinganisha utukufu wa mbinguni na chama chenye wanachama binadamu wadhambi na wadhulumaji kama CCM. Ifike mahali msimame kama watetezi halisi wa Mungu na neno lake bila kuhofia limetolewa na Nani! Hawa ni Walevi tu, tena walevi wa muda mfupi, pombe ya madaraka ikiwaisha wanarejea kwenye akili zao, hivyo ni wajibu wenu kukemea pale mambo matakatifu yanapofananishwa na Upumbavu wa wapumbavu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu alimuumba shetani - Ndio.Sasa kama Mungu alimuumba shetani, alafu akamfukuza, bado tu huoni Mungu alikosea kumuumba. Alafu unasema Mungu hakosei
Sent using Jamii Forums mobile app