SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Huyo ni mpuuzi kila mwenye akili timamu ameshampuuza.