Hii ni mojawapo ya hofu waliyonayo juu ya kukua kwa upinzani na kufikia hatua ya kutaka kuwatoa madarakani.Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Hivi ndo huyu huyu WA RASIMU YA KATIBA
lakini pia Mungu huyohuyo aliweka tunda lente kuwashawishi Adam na Hawa bustanini..Kwanini aliweka machaguo hayo kwamba wakila watamuudhi na wasipokula eatamfurahisha.Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
CD4 zimeshuka sana.Atakuwa si mzima
Hii tunaita wakuja akibumburuka.....
Wacha demokrasia ife izikwe wacha ccm washangilie vilio vya wanademokrasia nasema wacha kabisa inchi ibaki na chama kimoja tuone nani muhanga ni LISSU au Mbowe ni Maalim au Zitto ngoja twende maana kipenga kisha pigwa Watanzania wanashangilia kufungwaPolepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Matusi mapya haya au ulimi kuwa na speed zaidi ya ubongo.Polepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu
Huyo mpuuzi ukimwi umeshafika kichwani apuuzwe tuPolepole amewataka wapinzani waache kupiga kelele kuhusu kubanwa kwa vyama vya siasa.
Amewaambia kwani hata Mungu alimfukuza shetani mbinguni kwani alikuwa hataki upinzani.
Kazi kwenu