Tetesi: Polepole asema CHADEMA ruksa kutumia Dodoma Convention Centre

View attachment 513462
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.

Kauli hiyo imetolewa na Polepole kufuatia mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe tarehe 14 Mei 2017 juu ya uwezekano wa chama hicho kutumia ukumbi huo. Polepole amemwambia Mbowe kuwa CCM haioni uzito wa kutoa kibali kwa CHADEMA kutumia ukumbi huo ikiwa watawasilisha maombi rasmi kwa Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana.

Hata hivyo, Polepole amemweleza Mbowe kuwa wataruhusiwa tu kuutumia ukumbi huo ikiwa watakubali masharti ya kutoweka alama za chama chao nje ya ukumbi huo isipokuwa sehemu ya ndani.

Tarehe 27 Mei 2017, CHADEMA watafanya Mkutano wa Kamati Kuu Mjini Dodoma na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa chama hicho Boniface Makene haijabainisha ukumbi watakaotumka. Upo uwezekano kuwa Mbowe ametekeleza masharti aliyopewa na huenda mkutano huo utafanyika ndani ya ukumbi wa CCM.

MYTAKE: Pamoja na Uadui wangu na CHADEMA, nasupport msimamo wa Polepole.
adui mkubwa wa chadema ni wewe lizaboni
 
Hawa waliwahi kumtegeshea Slaa vinasa sauti akiwa bungeni Dodoma. Kwa chuki zao za kutisha watashindwa kutegesha vinasa sauti ili kuweza kujua nini kinazungumzwa na mikakati ya chama!? NGASTUKA!
Halafu ni aibu kwa chadema kwenda kufanya mkutano kwenye ukumbi wa ccm, ni sawa na kuuaafisha ukumbi huo ambao kuna wadau wanasema ulijengwa kwa kutumia rasilimali za umma kupitia dili za wachina na serikali ya ccm.
 
hakuna kitu kama hicho, ccm kwanza ni wabaguzi, chuki zao za vyama zimefanya mpaka mitaani tuonane maadui
 
Siafiki kabisa ni bora wakaombe hata kwenye uwanja wa shule kuliko huko CCM
 
Hawa waliwahi kumtegeshea Slaa vinasa sauti akiwa bungeni Dodoma. Kwa chuki zao za kutisha watashindwa kutegesha vinasa sauti ili kuweza kujua nini kinazungumzwa na mikakati ya chama!? NGASTUKA!
Tangu lini fisi na mbuzi wakaishi zizi moja. Mbowe yuko hoi kifikra kwa sasa. Kila kitu kitanaswa kuanzia sauti hadi video
 
Hawa waliwahi kumtegeshea Slaa vinasa sauti akiwa bungeni Dodoma. Kwa chuki zao za kutisha watashindwa kutegesha vinasa sauti ili kuweza kujua nini kinazungumzwa na mikakati ya chama!? NGASTUKA!
Yaani mmeingia kirahisi hivi kwenye propaganda ya Lizabon ya kudhalilisha Chadema, kiasi cha kujibu andishi lake kama vile ni kweli Mbowe kaomba ukumbi!
 
Yaani mmeingia kirahisi hivi kwenye propaganda ya Lizabon ya kudhalilisha Chadema, kiasi cha kujibu andishi lake kama vile ni kweli Mbowe kaomba ukumbi!
Mkuu, kwani wewe una uhakika kama Mbowe hajawasilisha maombi hayo?
 
Hamjaelewa mchezo uliochezwa hapa. Ikifika siku ya mkutano watasema ukumbi una matumizi mengine.
 
CCM hatuna Program siku hiyo. Ruksa CHADEMA kutumia ukumbi wetu
CCM haijawahi kuwa na huruma na CHADEMA au Chama chochote cha upinzani,hii huruma ya CCM kwa CHADEMA wameipata wapi?mpaka serekali ya CCM ikosekuwa na program na ukumbi unaowahusu wakati kumbi ambazo haziwahusu wakisikia CHADEMA wanataka kufanyia vikao vyao ni lazima serekali ya CCM iwe na kazi na ukumbi huo,na CCM hawajawahi kuineo huruma CHADEMA kwa kutoa ukumbi wao,na hata kuikanya serekali Yao kuacha unyanyasaji kwa CHADEMA,CCM hawajawahi kufanya hivyo.
 
View attachment 513462
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa ni ruksa kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA) kutumia ukumbi wao wa mikutano maarufu kama 'Dodoma Convention Centre'.

Kauli hiyo imetolewa na Polepole kufuatia mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikael Mbowe tarehe 14 Mei 2017 juu ya uwezekano wa chama hicho kutumia ukumbi huo. Polepole amemwambia Mbowe kuwa CCM haioni uzito wa kutoa kibali kwa CHADEMA kutumia ukumbi huo ikiwa watawasilisha maombi rasmi kwa Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana.

Hata hivyo, Polepole amemweleza Mbowe kuwa wataruhusiwa tu kuutumia ukumbi huo ikiwa watakubali masharti ya kutoweka alama za chama chao nje ya ukumbi huo isipokuwa sehemu ya ndani.

Tarehe 27 Mei 2017, CHADEMA watafanya Mkutano wa Kamati Kuu Mjini Dodoma na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa chama hicho Boniface Makene haijabainisha ukumbi watakaotumka. Upo uwezekano kuwa Mbowe ametekeleza masharti aliyopewa na huenda mkutano huo utafanyika ndani ya ukumbi wa CCM.

MYTAKE: Pamoja na Uadui wangu na CHADEMA, nasupport msimamo wa Polepole.
ww kwel kilaza. wenye vyama vyao sio maadui ww mfata upepo ili ushibe eti ingawa cdm ni adui..... unaonesha ulivyo mwepes huko upstair
 
Kwa hiyo walikuwa wanawazuia mkutano ili wawakodishie ukumbiwa?au wanataka kurekodi wanayo
Yajadili?hii nchi CCM haitatolewa na chama kitakacho ongozwa na watu wa kilimanjaro,tutaishi kama mrema,mbatia na sasa mbowe,kuvunjika moyo na matumaini hewa.
ila tukipata msukuma mwenzako hapo vp? kpind nyerere we ungelimwa shaba na ukabila wako
Safi kabisa
 
Kwenye red pametosha kuonesha kuwa bado una tatizo la elimu ,maana hakuna uadui katika siasa za nchi inayo jitanabaisha kuwa ni ya kidemokrasia isipo kuwa baadhi ya watu wenye elimu ndogo ya uraia na taaluma ndogo kichwani na wasio ijua siasa vyema ndio wanao kuwa na fikra na mawazo kama yako.

UPINZANI SIO UADUI NADHAN UKIPATA ELIMU NA UKAUNDOA HUO U KK PEKEE KICHWANI MWAKO NDIPO UTAONA KUWA KUMBE UPINZANI SIO UADUI BALI UPINZANI KUKUMBUSHA UWAJIBIKAJI KWA SERIKALI ILIYOPO MADARAKANI .
hujamaa cjui ndo liziboni atakua na mtindio wa ubongi kama sio bas cheti feki. BADALA KUWA NA UADUI NA UMASKINI WAKE ..ETI NI ADUI WA CHAMA. FOOLISH
 
Back
Top Bottom