Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,992
- 6,290
Kweli ccm wanapata tabu sana juu ya Chadema. Hakuna siku Polepole atazungumza bila kukitaja chama na M/K wake.
Polepole kwanza wewe wenye cm yao wanakudharau. Ww umewekwa pale tu ili kiti kile kisiwe wazi. Huna ubavu wala uhuru wakuwataja hadharani wezi wa ccm. Kwanini usubiri orodha? Hebu anza na Kangi Logola maana M/K wako ameshaweka wazi wizi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole kwanza wewe wenye cm yao wanakudharau. Ww umewekwa pale tu ili kiti kile kisiwe wazi. Huna ubavu wala uhuru wakuwataja hadharani wezi wa ccm. Kwanini usubiri orodha? Hebu anza na Kangi Logola maana M/K wako ameshaweka wazi wizi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app