Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Vikao vya CCM vimeamua kuwalinda majizi na mafisadi kwasababu ndiyo wanatoa pesa za kuijenga CCM.CAG mzalendo no moja,mwadilifu, aliwataja akaishia kuwa nje ya ulingo siku atakapowataja atatumbuliwa siku hio hio