Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Nini haijakamilika?Hilo CCM wote wanalijua............
Nini haijakamilika?Hilo CCM wote wanalijua............
Ilikuwa baada ya Tume ya kurekebisha katiba kuvunjwaHivi hapo katibu mwenezi alikuwa anazusha udaku eh!
Au amepandikizwa maneno
Polepole Humphrey ameitabiria CCM kushindwa iwapo uchaguzi utakuwa wa haki na huru
Uongozi kipajiWakati umefika sasa kuanza kujadili viwanda na maendeleo ya taifa. Unga 2,500 kilo, sukari 3,000- aliingia kakuta unga 900 na sukari 1,700. Tujadili haya jamani
Polepole Humphrey ameitabiria CCM kushindwa iwapo uchaguzi utakuwa wa haki na huru
Sipangiwi cha kufanya na ukijaribu umeharibu kabisaaaaaa.......!Wakati umefika sasa kuanza kujadili viwanda na maendeleo ya taifa. Unga 2,500 kilo, sukari 3,000- aliingia kakuta unga 900 na sukari 1,700. Tujadili haya jamani
La kinyarwanda umesahau!Hilo neno hata silijui.
Wewe si umeletewa hii ili kupinga leta wewe ambayo ina maneno ya tofauti thats it.ulipaswa kusema alinukuu kauli ya wapinzani waliposema.. ndo uweke hiyo video Acha kupotosha ukweli
Kwani mimi nimekwambia ilikuwa ni kabla ya Uhuru wa Tanganyika!Ilikuwa baada ya Tume ya kurekebisha katiba kuvunjwa
La kinyarwanda umesahau!
Inaniumaa sanaa duuhhWakati umefika sasa kuanza kujadili viwanda na maendeleo ya taifa. Unga 2,500 kilo, sukari 3,000- aliingia kakuta unga 900 na sukari 1,700. Tujadili haya jamani