Euphransia
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 937
- 778
Huo ndio ukweli hata Humphrey Polepole analijua
Cocchupy!..Unataka kuzusha udaku tu.
Kati ya watu wanao dharaulika hapa jukwaani ni weweHa ha ha haaaaaa
Naona hatujakutana masiku.
Umeshanyooka na hapa kazi tu au bado unasaga meno?
Kati ya watu wanao dharaulika hapa jukwaani ni wewe
Polepole Humphrey ameitabiria CCM kushindwa iwapo uchaguzi utakuwa wa haki na huru
KindururuKisa nasimamia yangu, vizuri sana kama umeamua hivyo na kujisemea. Acheni wivu, jipaisheni wenyewe vya dezo hakuna tena.
Hapa kazi tu
Makonda oyeeeeeee, unaona eeeh hakunaga kiongozi kama yeye. Na bado mengi yanakuja
Kindururu
Haya ndo u anayofanya chadema waonekane watu wa propaganda yu.. Video kama hii inakata kakipande flani na ku post lengo ni iweje labda? Weka video yote tuione sio pumba hizi
ulipaswa kusema alinukuu kauli ya wapinzani waliposema.. ndo uweke hiyo video Acha kupotosha ukweliMkubwa hiyo sentensi ni "Complete & indepedent" haihitaji neno ama sentensi nyingine aidha kwa mbele ama nyuma, kushoto ama kulia ili ilete maana nyingine tofauti na hii ambayo kila mtu humu ukiwemo wewe ulivyoielewa !!
ulipaswa kusema alinukuu kauli ya wapinzani waliposema.. ndo uweke hiyo video Acha kupotosha ukweli