#COVID19 Polepole ataka kiwanda cha dawa za mimea kupambana na Corona, aomba kikafichwe Jeshini

Nafuu siri nzuri zivuje kuliko siri za haribifu zitunzwe na zitekelezwe kinyemela na kwa kushtukiza.
Kwenye hili Baraza Kuna Dada Doro, Dada Joy na naibu wa Dada Doro, wote Hawa hawatoshi kwa komedi unataka tuongezewe Komredi chakubanga.
Unataka Siri za Baraza zivuje.?
Mwisho utasema na Bashir awe kwenye Baraza.
 
Huwezi kujitengenezea dawa kwa kujitenga na dunia ama kwa nia ya ku-show off kwamba na Sisi tunaweza! India ni waasisi wa tiba za madawa, hata Magharibi walikopi kwao, lakini msingi wa sayansi yao ya madawa si kutaka kujiondoa ‘ulimwenguni!’
Na hiyo kujitegemea yenu ni nini? Nyungu, pili pili na majani ya mapera?
Hahahaha! Hayo madawa unayosifia yote yametokana na mimea. Huwezi kuwa mbunifu kwa kukopi kopi.
Hakuna anayejionyesha kwenye suala la kupambana na Uviko-19. Kenya chanjo zimefika kitambo lakini bado maambukizi yako pale pale, sasa hapa kinachoendelea ni biashara tu.
 
Hembu tujaribu kuangalia haya maswala kwa picha kubwa zaidi, mtu kwenda kwenye media.na kuanza kutoa maneno mazuri ya mashiko mara moja au mbili yasi badili mawazo yetu huyu jamaa alitoka wapi? Je alikuja kuwa nani? Alipo kuwa nani alifanya nini? Na je sasahivi yuko wapi ? Nani kwanini yupo hapo sasahivi?
Kama kweli una weza jijibu hayo maswali kwa ufasaha kabisa baasi utaona huu uzi hauku stahili kuanzishwa. Ila kz tunaishi kwenye dunia ya technology kibao ruka kwenye media msake huyo unaye mwita mzalendo skiliza alicho kuwa ana ambia watu alafu endeleza uziwa wako.
Conclusion Siku za mwisho za Sabaya hata yeye alikuwa kwenye media walimsafisha na alijisafisha saaaana sasahivi yupo wapi?
We should learn to remember and see things at a bigger picture and scope.
 
Ebu achenu u.ji.nga PolepOle yupi?... huyu huyu Pole Pole wa ovyo, ndio mnataka aingie kwenye Baraza?...

Yeye na Bashiru wale ela tu za bure hii miaka 5. Ndio mwisho wao wa kisiasa. We will Never see or hear them after 2025...

Nasikia anataka jimbo la Segerea. Haibu ambayo atapata itakuwa ya karne
 
"Usomi" kwa mujibu wa hawa nyumbu wa mtandaoni, ni kumeza machanjo bila kuuliza.

Ukiuliza mbona hizi chanjo hazina ithibati ya usalama, wanabwata... ooohhhh tunafungulia nchi!

Ati ndio usomi.... usomi gani wa kudungwa masumu ya ajabu ajabu!

Wengine humu ni madalali wa chanjo ambao kazi yao kubwa mitandaoni ni ku-influence public opinion.

Ni matapeli tu kama matapeli wengine.
Mkuu hawa niwanufaika kwa njia moja ama nyingine... Yaan wao ujanja ni kuvaa barakoa kwa ajr ya matangazo... Kudungwa sindano et Kinga.. jaman.. yaan hawasikii Wala hawaon. Wanamacho ila hawaoni wanamasikio ila hawasikii.. wanavichwa ila utafikir wanamaboga tu kichwan.. niwakuhurumiwa hai..
 
Mheshimiwa pole pole amenena yaliyokuwa moyoni mwangu. Watanzania tumfuate huyu ndugu. Anatuelekeza mahala sahihi. Natamani aingie kwenye baraza la mawaziri. Huyu ni mzalendo.



Yaliyopo moyoni mwako sio yaliyopo moyoni mwangu mimi. Wewe mfuate mie sito mfuata. Tusipangiane
 
Unamaanisha apewe shukran kwa kuwawezesha mawaziri kurudi bungeni.
Yaliyopita yamepita, kama alikosea awali kimya kimya, tukaona matokeo ya makosa yake, na sasa kimya kimya amerejea kwenye mstari wake wa awali na kwa macho tunaona, kwa nini tumhukumu mtu aliyeamua kuwa upande wa binadamu? Tuangalieni namna anavyotufaa sasa na baadaye. Ni mmoja kati ya watu wachache wanaoweza kumsaidia H.E, kutetea maslahi ya nchi. Tuache mizaha ama visasi vya kutuumiza. Kumbuka uharibifu hauna mizaha, na anaji penyeza kwa kasi, ili kuhakikisha uhuru wetu hata kwa masuala tunayoyaweza unapotea completely. Hii ni vita, vita ni mikakati kwa majira yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom