johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Karibu ufuatilie mjadala!
Polepole anamshangaa Nyalandu kuondoka CCM inayofuata itikadi ya Ujamaa purely na kwenda kujiunga kwenye chama kisicho na itikadi yoyote. Anadai huyu ameshuka viwango na hajawahi kuitisha mikutano na wapiga kura wanamtafuta jimboni yeye hajulikani alipo.
Mwenezi anasema kuna wabunge wengi wanachunguzwa ndani ya chama kufuatia ushauri uliotolewa na spika kwa mwenyekiti wa CCM, hivyo wananchi wakae mkao wa kula kwani muda si mrefu kamati za uchunguzi zitamaliza kazi na hatua stahiki zitachukuliwa kwa wabunge wote watakaokutwa na kasoro mbalimbali!
Pia amemponda yule mbunge wa Kigoma aliyesahau shughuli zake za kibunge jimboni na kuzamia Dar alikojipa jukumu la kuishambulia serikali kwa kila jambo, liwe jema au vinginevyo!
Polepole anamshangaa Nyalandu kuondoka CCM inayofuata itikadi ya Ujamaa purely na kwenda kujiunga kwenye chama kisicho na itikadi yoyote. Anadai huyu ameshuka viwango na hajawahi kuitisha mikutano na wapiga kura wanamtafuta jimboni yeye hajulikani alipo.
Mwenezi anasema kuna wabunge wengi wanachunguzwa ndani ya chama kufuatia ushauri uliotolewa na spika kwa mwenyekiti wa CCM, hivyo wananchi wakae mkao wa kula kwani muda si mrefu kamati za uchunguzi zitamaliza kazi na hatua stahiki zitachukuliwa kwa wabunge wote watakaokutwa na kasoro mbalimbali!
Pia amemponda yule mbunge wa Kigoma aliyesahau shughuli zake za kibunge jimboni na kuzamia Dar alikojipa jukumu la kuishambulia serikali kwa kila jambo, liwe jema au vinginevyo!