Polepole anakosa sifa hii muhimu ndio maana hakuna anayemzingatia

Ndg hujui kumsoma mtu kwa ishara Polepole aliposema tumwache mama afanye kazi ana maana kubwa sana ambayo imejificha ndani yake
Kwahiyo kama wewe umeichukulia juu juu tu kuwa polepole anapinga katiba utakuwa umekosea sana..!
Rudia hicho kipande kutazama/kusikiliza tena.!


Mkuu naomba Kwa faida ya wengine utupe kitu kidogo.

Ingawaje nitarudia kumsikiliza
 
Mbona umeitolea chadema mfano kuhusu msimamo? Vp kuhusu CCM wao wanamsimamo? Mara leo azimio la Arusha na ujamaa mara kesho azimio la Zanzibar na ubepari! Haijulikani chama kina itikadi gani!


Msimamo wa CCM ni uleule wa CHADEMA, kiufupi hakuna msimamo
 
Hata maandiko husema unapo amua kuwamtenda dhambi tenda sana kama unazini wee ziniii wala usiwaze sio unaogopa ugopa hongera bwana mtoa mada na mi nasema hivi sitoacha kuweka picha hapa chinijapo wadau wanasema ushamba mi sijui nitaweka mpaka nifukuzwe jfView attachment 2025992
Mstari gani huo kwenye maandiko matakatifu?
 
Msimamo wa CCM ni uleule wa CHADEMA, kiufupi hakuna msimamo
Msimamo wa CCM ni ule ule upi? Nchi itafata itikadi ya ujamaa na kujitegemea ( wakati nchi imebinafsisha mashirika karibia yote ya umma kwa watu binafsi, na viongozi kila siku ni kiguu na njia kwenda kuomba misaada, ndo kujitegemea huko?) Na pili azimio la Arusha lilikataza viongozi kumiliki vitega uchumi na kufanya biashara ( Sasaiv viongozi wote wakubwa wa CCM ndo mabilionea na wamejilimbikizia mali) Msimamo ambao haujabadilika ni upi hapo? Unajua kwanza maana ya itikadi na umuhimu wa itikadi kwenye chama? Itikadi ya CCM ni ipi leo?
 
POLEPOLE ANAKOSA SIFA HII MUHIMU NDIO MAANA HAZINGATIWI NA WATU

Kwa Mkono wa Robert Heriel

Kwenye suala la uongozi na utawala ukitaka usizingatiwe Sana yaani upoteze mvuto licha ya watu kukusikiliza, basi kosa sifa nitakayoieleza hivi leo. Ni sifa moja kubwa Sana ambayo hiyo ndio humpa mtu ushawishi na kupata wafuasi wengi. Ukiikosa sifa hii huwezi kupata wafuasi labda ushabikiwe na Mke na watoto wako.

Polepole wengi wetu tulianza kumfahamu na bila Shaka alianza kupata nguvu ya ushawishi katika taifa letu wakati WA mchakato wa Rasimu wa Katiba Mpya. Hapo Polepole alionyesha uwezo ambao wengi walivutwa naye, Kauli zake za kujiamini zilizotoa ishara ya msimamo na kuijali jamii yake zilifanya watu waanze kumfuatilia. Pengine wengine wengi walifikiri Polepole angefaa siku moja kupewa Nafasi ya juu ndani ya taifa hili.

Hii ni kusema katika masuala ya kisiasa, utawala na uongozi ili upate wafuasi wengi na umashuhuri yakupasa uwe na MSIMAMO usioyumbishwa,

Msimamo, kutetea kile unachokiamini kiwe kizuri au kibaya ndio sifa namba moja ya kuzingatiwa ili upate wafuasi.

Wanadamu kikawaida wanahitaji mtu wa kumtumainia, kumtegemea, na ili utegemewe na kutumainiwa na wanadamu lazima uwe na sifa ya kutokuwa Kigeugeu, yaani lazima uwe na MSIMAMO.

Siku zote mtu Kigeugeu hawezi kuwa na wafuasi kwani hawamuamini, binadamu ni rahisi kumuamini adui yake ambaye anamsimamo kuliko rafiki Kigeugeu.

Rafiki Kigeugeu anasifa ya unafiki, uoga, na tabia ya kuuma na kupuliza.

Mtu mwenye msimamo siku zote haogopi matokeo ya msimamo wake. Na Hilo ndilo linalomfanya atumainiwe.
Mtu mwenye msimamo lazima awe jasiri, asiyemwoga kusimamia kile anachokiamini.
Ingawaje kila mwanadamu anakiwango chake cha lakini Mtu jasiri uoga wake uwe mdogo kabisa labda 10%.

Mifano ya watu waliopata wafuasi Kutokana na MSIMAMO usioyumbishwa uliosababishwa na ujasiri Kwa hapa Tanzania ni pamoja na Hawa;

1. Tundu Lisu.
Huyu alikuwa jasiri na mwenye msimamo mwanzo mpaka mwisho. Ndio maana mpaka Leo lipo kundi la watu linalomwamini Sana Lisu.
Ninaposema ujasiri na MSIMAMO kumbuka sijasema MSIMAMO katika nini, unaweza kuwa msimamo wa Jambo jema au Baya. Lakini msimamo ni msimamo. Ndio maana kiroho Mungu anasema uchague kuwa baridi au Moto, hataki mtu Kigeugeu (vuguvugu) Leo Moto kesho baridi.

2. Hayyati Magufuli.
Huyu ni kiongozi ambaye alikuwa na msimamo mkubwa na jasiri katika hilo hakuna atakayebisha.
Mtu mwenye msimamo atakachoamua ndio hicho hicho hata Kama kitaleta matokeo mabaya.
Mtu hivi ni rahisi kupata wafuasi Kwa sababu ndivyo inavyotakiwa.

Magufuli alikuwa tayari hata kufa lakini apiganie kile alichokiamini. Hiyo ni tabia ya Kiongozi.
Ingawaje Mimi nilikuwa natofautiana na Mambo yake baadhi lakini nilikuwa rahisi kumtumainia Magufuli kuliko kutumaini mtu Kigeugeu asiye na msimamo.

Yaani ni Bora umtumaini Shetani mwenye msimamo kuliko Malaika Kigeugeu asiyeeleweka

3. Roma Mkatoliki & Nay wamitego.
Hawa ni Vijana wadogo, Wasanii lakini wanamsimamo na hawaogopi kusema kile wanachokiamini. Kupata watu wakuwatumainia ni kawaida kwani hawa huwa watetezi WA watu. Wasema ukweli.

Unajua hakuna Jambo gumu Kama kupinga na kulisema kweli mbele ya watawala.

4. jenerali Ulimwengu.
5. Mbunge Msukuma
6. Mbunge Bwege.
7. Mchungaji Anthony Lusekelo.

Miongoni mwa watu wengine wenye misimamo na kile wanachokiamini.

Ukitaka upoteze ushawishi kwenye jamii kuwa Kigeugeu.
Ukiwa unaishi Kwa kuyumbishwa hakika hakuna atakayekuzingatia.

Ukiamua kutetea mafisadi amua kutetea mafisadi, utapata wafuasi wengi tu. Na hata mafisadi wenyewe watakutumaini.
Lakini leo unatetea mafisadi kesho wenye haki unafikiri Nani atakutumaini? Hao mafisadi wenyewe watakuona huyu ni mnafiki na wenye haki nao wataona wewe ni mnafiki.

Na mnafiki Hana wafuasi.
Siku ukikutwa na shida ndio utajua kuwa mnafiki Hana wafuasi.

Shetani anawafuasi wengi, na wapo wanaomtumainia Kwa sababu anamsimamo, tangu amechagua kuwa upande wa ubaya hajawahi kusaliti kambi. Yeye ni mbaya na ndio huo ubaya, Hana unafiki.

Hata Mungu anampenda Shetani Kwa sababu ya msimamo huo.
Shetani anawafuasi wengi Kwa sababu anasifa ya muhimu ya uongozi ambayo ni MSIMAMO.

Sasa ndugu yangu POLEPOLE yeye amekosa sifa hii.
Hana MSIMAMO,
Leo anasema Katiba Mpya haina umuhimu wowote tumuache Mama afanye kazi. Kwani hicho ndicho alichokiamini kipindi kile alivyojifanya Mdau mkubwa wa Katiba Mpya?

Hata viongozi wenyewe wenye akili zilizotulia wanajua watu wenye tabia za Polepole, ukigeugeu, kutokuwa na msimamo.
Kipindi cha Magufuli, walisema Katiba Mpya sio muhimu, kaja mama wanasema vivyo hivyo, akija mwingine watasema halikadhalika.

Ndio maana Serikali makini haiwezi tishiwa na mtu Kigeugeu, serikali makini haiwezi yumbishwa na mtu anayeyumba yumba Kama Mlevi. Mara upande huu mara upande ule,

Watu wanasema mbona Serikali haimzuii Polepole kusema, hivi kuna mtu atamzuia mtu anayeyumba yumba asiseme?
Mtu asiye na Jambo analolisimamia, anayeyumba yumba ni Kama Mlevi huwezi mzuia asiseme, Leo atasema hivi kesho atakataa alichosema leo atasema alikuwa amepewa pombe.

Polepole anajifanya kuikosoa serikali(ni Haki yake na anafanya vyema) lakini anakosa kuaminiwa na kuzingatiwa na wasikilizaji wake Kwa sababu hawamuamini.
Mbona wakati wa Magufuli alikaa kimya Kama hapakuwa na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinaendelea.

Kama POLEPOLE angejipambanua Kama msema ukweli na mtu mwenye MSIMAMO tangu kipindi cha Magufuli, hivi leo watu wengi wangemuamini na kumzingatia. Lakini hakuna atakayemzingatia na serikali haiwezi kumhofia mtu asiye na MSIMAMO hata siku moja.

Atachukuliwa Kama Wale Vijana wa mitandaoni wanaoendeshwa na Hisia zao,

Ni Kama vile CHADEMA, inayumba yumba Kama Mlevi. Leo isimamie hili kesho ilikane. Doooh!!!

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Stone town, Zanzibar
Ila Musukumu hapana halooo! Umesahau alivyoshadadia Lowasa then akaja kumgeuka ghafla hadi kumpakazia kajinyea? Huyu hapanaaaaa!
 
Msimamo wa CCM ni ule ule upi? Nchi itafata itikadi ya ujamaa na kujitegemea ( wakati nchi imebinafsisha mashirika karibia yote ya umma kwa watu binafsi, na viongozi kila siku ni kiguu na njia kwenda kuomba misaada, ndo kujitegemea huko?) Na pili azimio la Arusha lilikataza viongozi kumiliki vitega uchumi na kufanya biashara ( Sasaiv viongozi wote wakubwa wa CCM ndo mabilionea na wamejilimbikizia mali) Msimamo ambao haujabadilika ni upi hapo? Unajua kwanza maana ya itikadi na umuhimu wa itikadi kwenye chama? Itikadi ya CCM ni ipi leo?


Nimesema CCM na CHADEMA Lao moja
 
POLEPOLE ANAKOSA SIFA HII MUHIMU NDIO MAANA HAZINGATIWI NA WATU

Kwa Mkono wa Robert Heriel

Kwenye suala la uongozi na utawala ukitaka usizingatiwe Sana yaani upoteze mvuto licha ya watu kukusikiliza, basi kosa sifa nitakayoieleza hivi leo. Ni sifa moja kubwa Sana ambayo hiyo ndio humpa mtu ushawishi na kupata wafuasi wengi. Ukiikosa sifa hii huwezi kupata wafuasi labda ushabikiwe na Mke na watoto wako.

Polepole wengi wetu tulianza kumfahamu na bila Shaka alianza kupata nguvu ya ushawishi katika taifa letu wakati WA mchakato wa Rasimu wa Katiba Mpya. Hapo Polepole alionyesha uwezo ambao wengi walivutwa naye, Kauli zake za kujiamini zilizotoa ishara ya msimamo na kuijali jamii yake zilifanya watu waanze kumfuatilia. Pengine wengine wengi walifikiri Polepole angefaa siku moja kupewa Nafasi ya juu ndani ya taifa hili.

Hii ni kusema katika masuala ya kisiasa, utawala na uongozi ili upate wafuasi wengi na umashuhuri yakupasa uwe na MSIMAMO usioyumbishwa,

Msimamo, kutetea kile unachokiamini kiwe kizuri au kibaya ndio sifa namba moja ya kuzingatiwa ili upate wafuasi.

Wanadamu kikawaida wanahitaji mtu wa kumtumainia, kumtegemea, na ili utegemewe na kutumainiwa na wanadamu lazima uwe na sifa ya kutokuwa Kigeugeu, yaani lazima uwe na MSIMAMO.

Siku zote mtu Kigeugeu hawezi kuwa na wafuasi kwani hawamuamini, binadamu ni rahisi kumuamini adui yake ambaye anamsimamo kuliko rafiki Kigeugeu.

Rafiki Kigeugeu anasifa ya unafiki, uoga, na tabia ya kuuma na kupuliza.

Mtu mwenye msimamo siku zote haogopi matokeo ya msimamo wake. Na Hilo ndilo linalomfanya atumainiwe.
Mtu mwenye msimamo lazima awe jasiri, asiyemwoga kusimamia kile anachokiamini.
Ingawaje kila mwanadamu anakiwango chake cha lakini Mtu jasiri uoga wake uwe mdogo kabisa labda 10%.

Mifano ya watu waliopata wafuasi Kutokana na MSIMAMO usioyumbishwa uliosababishwa na ujasiri Kwa hapa Tanzania ni pamoja na Hawa;

1. Tundu Lisu.
Huyu alikuwa jasiri na mwenye msimamo mwanzo mpaka mwisho. Ndio maana mpaka Leo lipo kundi la watu linalomwamini Sana Lisu.
Ninaposema ujasiri na MSIMAMO kumbuka sijasema MSIMAMO katika nini, unaweza kuwa msimamo wa Jambo jema au Baya. Lakini msimamo ni msimamo. Ndio maana kiroho Mungu anasema uchague kuwa baridi au Moto, hataki mtu Kigeugeu (vuguvugu) Leo Moto kesho baridi.

2. Hayyati Magufuli.
Huyu ni kiongozi ambaye alikuwa na msimamo mkubwa na jasiri katika hilo hakuna atakayebisha.
Mtu mwenye msimamo atakachoamua ndio hicho hicho hata Kama kitaleta matokeo mabaya.
Mtu hivi ni rahisi kupata wafuasi Kwa sababu ndivyo inavyotakiwa.

Magufuli alikuwa tayari hata kufa lakini apiganie kile alichokiamini. Hiyo ni tabia ya Kiongozi.
Ingawaje Mimi nilikuwa natofautiana na Mambo yake baadhi lakini nilikuwa rahisi kumtumainia Magufuli kuliko kutumaini mtu Kigeugeu asiye na msimamo.

Yaani ni Bora umtumaini Shetani mwenye msimamo kuliko Malaika Kigeugeu asiyeeleweka

3. Roma Mkatoliki & Nay wamitego.
Hawa ni Vijana wadogo, Wasanii lakini wanamsimamo na hawaogopi kusema kile wanachokiamini. Kupata watu wakuwatumainia ni kawaida kwani hawa huwa watetezi WA watu. Wasema ukweli.

Unajua hakuna Jambo gumu Kama kupinga na kulisema kweli mbele ya watawala.

4. jenerali Ulimwengu.
5. Mbunge Msukuma
6. Mbunge Bwege.
7. Mchungaji Anthony Lusekelo.

Miongoni mwa watu wengine wenye misimamo na kile wanachokiamini.

Ukitaka upoteze ushawishi kwenye jamii kuwa Kigeugeu.
Ukiwa unaishi Kwa kuyumbishwa hakika hakuna atakayekuzingatia.

Ukiamua kutetea mafisadi amua kutetea mafisadi, utapata wafuasi wengi tu. Na hata mafisadi wenyewe watakutumaini.
Lakini leo unatetea mafisadi kesho wenye haki unafikiri Nani atakutumaini? Hao mafisadi wenyewe watakuona huyu ni mnafiki na wenye haki nao wataona wewe ni mnafiki.

Na mnafiki Hana wafuasi.
Siku ukikutwa na shida ndio utajua kuwa mnafiki Hana wafuasi.

Shetani anawafuasi wengi, na wapo wanaomtumainia Kwa sababu anamsimamo, tangu amechagua kuwa upande wa ubaya hajawahi kusaliti kambi. Yeye ni mbaya na ndio huo ubaya, Hana unafiki.

Hata Mungu anampenda Shetani Kwa sababu ya msimamo huo.
Shetani anawafuasi wengi Kwa sababu anasifa ya muhimu ya uongozi ambayo ni MSIMAMO.

Sasa ndugu yangu POLEPOLE yeye amekosa sifa hii.
Hana MSIMAMO,
Leo anasema Katiba Mpya haina umuhimu wowote tumuache Mama afanye kazi. Kwani hicho ndicho alichokiamini kipindi kile alivyojifanya Mdau mkubwa wa Katiba Mpya?

Hata viongozi wenyewe wenye akili zilizotulia wanajua watu wenye tabia za Polepole, ukigeugeu, kutokuwa na msimamo.
Kipindi cha Magufuli, walisema Katiba Mpya sio muhimu, kaja mama wanasema vivyo hivyo, akija mwingine watasema halikadhalika.

Ndio maana Serikali makini haiwezi tishiwa na mtu Kigeugeu, serikali makini haiwezi yumbishwa na mtu anayeyumba yumba Kama Mlevi. Mara upande huu mara upande ule,

Watu wanasema mbona Serikali haimzuii Polepole kusema, hivi kuna mtu atamzuia mtu anayeyumba yumba asiseme?
Mtu asiye na Jambo analolisimamia, anayeyumba yumba ni Kama Mlevi huwezi mzuia asiseme, Leo atasema hivi kesho atakataa alichosema leo atasema alikuwa amepewa pombe.

Polepole anajifanya kuikosoa serikali(ni Haki yake na anafanya vyema) lakini anakosa kuaminiwa na kuzingatiwa na wasikilizaji wake Kwa sababu hawamuamini.
Mbona wakati wa Magufuli alikaa kimya Kama hapakuwa na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinaendelea.

Kama POLEPOLE angejipambanua Kama msema ukweli na mtu mwenye MSIMAMO tangu kipindi cha Magufuli, hivi leo watu wengi wangemuamini na kumzingatia. Lakini hakuna atakayemzingatia na serikali haiwezi kumhofia mtu asiye na MSIMAMO hata siku moja.

Atachukuliwa Kama Wale Vijana wa mitandaoni wanaoendeshwa na Hisia zao,

Ni Kama vile CHADEMA, inayumba yumba Kama Mlevi. Leo isimamie hili kesho ilikane. Doooh!!!

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Stone town, Zanzibar
kuna ukweli asilimia fulani hivi, mimi mwenyewe nilikuwa sikosi vipindi vya polepole ktk luninga wakati wa katiba mpya ila alivyopewa uenezi wa chama akaanza kubadilika si kwa katiba mpya tuu bali hata mwendo wake ulibadilika na kauli zikabadilika akajawa kiburimpaka kutuuliza unaijua V8 wewe sasa sijui v8 ilikuwa inapeleka dawa vijijini au madawati shuleni yaani watz wana matatizo yenye kuitaji kutatuliwa tunatambiwa na matumizi ya v8. na sasa nimemsikia akisema alikuwa anawaita viongozi vijana na kuwaonya au kuwaelekeza pale walipokuwa hawaendi sawa nafikiri si kweli sishuhudiwi kama alimuita P.MAKONDA AU SABAYA na kuwaonya maana walipitiliza katika mstari flani hivi wa kutohojiwa katika kauli au matendo yao, mfano makonda aliwahi sema achaguliwinani amtumie na amtumie wapi na watu wawe na adabu hata wakubwa zako wanamtambua......
kwangu mm hapo kwa msukuma hebu tumweke profesa ASAD CAG aliepumzishwa kwa sababu ya misimamo yake, huyu ndiye namwona kama mfano halisi hasa maana wakati wa utawala wa awamu ya 5 kumkatalia rais jambo na kulisimamia mpaka ukubali kuachia hata cheo si jambo dogo. kwa jenerali ulimwengu nakukubalia 100% nae hayumbishwi toka nimfahamu na kufuatilia historia yake ya uongozi toka huko nyuma.
 
POLEPOLE ANAKOSA SIFA HII MUHIMU NDIO MAANA HAZINGATIWI NA WATU

Kwa Mkono wa Robert Heriel

Kwenye suala la uongozi na utawala ukitaka usizingatiwe Sana yaani upoteze mvuto licha ya watu kukusikiliza, basi kosa sifa nitakayoieleza hivi leo. Ni sifa moja kubwa Sana ambayo hiyo ndio humpa mtu ushawishi na kupata wafuasi wengi. Ukiikosa sifa hii huwezi kupata wafuasi labda ushabikiwe na Mke na watoto wako.

Polepole wengi wetu tulianza kumfahamu na bila Shaka alianza kupata nguvu ya ushawishi katika taifa letu wakati WA mchakato wa Rasimu wa Katiba Mpya. Hapo Polepole alionyesha uwezo ambao wengi walivutwa naye, Kauli zake za kujiamini zilizotoa ishara ya msimamo na kuijali jamii yake zilifanya watu waanze kumfuatilia. Pengine wengine wengi walifikiri Polepole angefaa siku moja kupewa Nafasi ya juu ndani ya taifa hili.

Hii ni kusema katika masuala ya kisiasa, utawala na uongozi ili upate wafuasi wengi na umashuhuri yakupasa uwe na MSIMAMO usioyumbishwa,

Msimamo, kutetea kile unachokiamini kiwe kizuri au kibaya ndio sifa namba moja ya kuzingatiwa ili upate wafuasi.

Wanadamu kikawaida wanahitaji mtu wa kumtumainia, kumtegemea, na ili utegemewe na kutumainiwa na wanadamu lazima uwe na sifa ya kutokuwa Kigeugeu, yaani lazima uwe na MSIMAMO.

Siku zote mtu Kigeugeu hawezi kuwa na wafuasi kwani hawamuamini, binadamu ni rahisi kumuamini adui yake ambaye anamsimamo kuliko rafiki Kigeugeu.

Rafiki Kigeugeu anasifa ya unafiki, uoga, na tabia ya kuuma na kupuliza.

Mtu mwenye msimamo siku zote haogopi matokeo ya msimamo wake. Na Hilo ndilo linalomfanya atumainiwe.
Mtu mwenye msimamo lazima awe jasiri, asiyemwoga kusimamia kile anachokiamini.
Ingawaje kila mwanadamu anakiwango chake cha lakini Mtu jasiri uoga wake uwe mdogo kabisa labda 10%.

Mifano ya watu waliopata wafuasi Kutokana na MSIMAMO usioyumbishwa uliosababishwa na ujasiri Kwa hapa Tanzania ni pamoja na Hawa;

1. Tundu Lisu.
Huyu alikuwa jasiri na mwenye msimamo mwanzo mpaka mwisho. Ndio maana mpaka Leo lipo kundi la watu linalomwamini Sana Lisu.
Ninaposema ujasiri na MSIMAMO kumbuka sijasema MSIMAMO katika nini, unaweza kuwa msimamo wa Jambo jema au Baya. Lakini msimamo ni msimamo. Ndio maana kiroho Mungu anasema uchague kuwa baridi au Moto, hataki mtu Kigeugeu (vuguvugu) Leo Moto kesho baridi.

2. Hayyati Magufuli.
Huyu ni kiongozi ambaye alikuwa na msimamo mkubwa na jasiri katika hilo hakuna atakayebisha.
Mtu mwenye msimamo atakachoamua ndio hicho hicho hata Kama kitaleta matokeo mabaya.
Mtu hivi ni rahisi kupata wafuasi Kwa sababu ndivyo inavyotakiwa.

Magufuli alikuwa tayari hata kufa lakini apiganie kile alichokiamini. Hiyo ni tabia ya Kiongozi.
Ingawaje Mimi nilikuwa natofautiana na Mambo yake baadhi lakini nilikuwa rahisi kumtumainia Magufuli kuliko kutumaini mtu Kigeugeu asiye na msimamo.

Yaani ni Bora umtumaini Shetani mwenye msimamo kuliko Malaika Kigeugeu asiyeeleweka

3. Roma Mkatoliki & Nay wamitego.
Hawa ni Vijana wadogo, Wasanii lakini wanamsimamo na hawaogopi kusema kile wanachokiamini. Kupata watu wakuwatumainia ni kawaida kwani hawa huwa watetezi WA watu. Wasema ukweli.

Unajua hakuna Jambo gumu Kama kupinga na kulisema kweli mbele ya watawala.

4. jenerali Ulimwengu.
5. Mbunge Msukuma
6. Mbunge Bwege.
7. Mchungaji Anthony Lusekelo.

Miongoni mwa watu wengine wenye misimamo na kile wanachokiamini.

Ukitaka upoteze ushawishi kwenye jamii kuwa Kigeugeu.
Ukiwa unaishi Kwa kuyumbishwa hakika hakuna atakayekuzingatia.

Ukiamua kutetea mafisadi amua kutetea mafisadi, utapata wafuasi wengi tu. Na hata mafisadi wenyewe watakutumaini.
Lakini leo unatetea mafisadi kesho wenye haki unafikiri Nani atakutumaini? Hao mafisadi wenyewe watakuona huyu ni mnafiki na wenye haki nao wataona wewe ni mnafiki.

Na mnafiki Hana wafuasi.
Siku ukikutwa na shida ndio utajua kuwa mnafiki Hana wafuasi.

Shetani anawafuasi wengi, na wapo wanaomtumainia Kwa sababu anamsimamo, tangu amechagua kuwa upande wa ubaya hajawahi kusaliti kambi. Yeye ni mbaya na ndio huo ubaya, Hana unafiki.

Hata Mungu anampenda Shetani Kwa sababu ya msimamo huo.
Shetani anawafuasi wengi Kwa sababu anasifa ya muhimu ya uongozi ambayo ni MSIMAMO.

Sasa ndugu yangu POLEPOLE yeye amekosa sifa hii.
Hana MSIMAMO,
Leo anasema Katiba Mpya haina umuhimu wowote tumuache Mama afanye kazi. Kwani hicho ndicho alichokiamini kipindi kile alivyojifanya Mdau mkubwa wa Katiba Mpya?

Hata viongozi wenyewe wenye akili zilizotulia wanajua watu wenye tabia za Polepole, ukigeugeu, kutokuwa na msimamo.
Kipindi cha Magufuli, walisema Katiba Mpya sio muhimu, kaja mama wanasema vivyo hivyo, akija mwingine watasema halikadhalika.

Ndio maana Serikali makini haiwezi tishiwa na mtu Kigeugeu, serikali makini haiwezi yumbishwa na mtu anayeyumba yumba Kama Mlevi. Mara upande huu mara upande ule,

Watu wanasema mbona Serikali haimzuii Polepole kusema, hivi kuna mtu atamzuia mtu anayeyumba yumba asiseme?
Mtu asiye na Jambo analolisimamia, anayeyumba yumba ni Kama Mlevi huwezi mzuia asiseme, Leo atasema hivi kesho atakataa alichosema leo atasema alikuwa amepewa pombe.

Polepole anajifanya kuikosoa serikali(ni Haki yake na anafanya vyema) lakini anakosa kuaminiwa na kuzingatiwa na wasikilizaji wake Kwa sababu hawamuamini.
Mbona wakati wa Magufuli alikaa kimya Kama hapakuwa na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinaendelea.

Kama POLEPOLE angejipambanua Kama msema ukweli na mtu mwenye MSIMAMO tangu kipindi cha Magufuli, hivi leo watu wengi wangemuamini na kumzingatia. Lakini hakuna atakayemzingatia na serikali haiwezi kumhofia mtu asiye na MSIMAMO hata siku moja.

Atachukuliwa Kama Wale Vijana wa mitandaoni wanaoendeshwa na Hisia zao,

Ni Kama vile CHADEMA, inayumba yumba Kama Mlevi. Leo isimamie hili kesho ilikane. Doooh!!!

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Stone town, Zanzibar
Haw wanamisimamo thabiti Tuwafuate..

cdm.jpeg
 
POLEPOLE ANAKOSA SIFA HII MUHIMU NDIO MAANA HAZINGATIWI NA WATU

Kwa Mkono wa Robert Heriel

Kwenye suala la uongozi na utawala ukitaka usizingatiwe Sana yaani upoteze mvuto licha ya watu kukusikiliza, basi kosa sifa nitakayoieleza hivi leo. Ni sifa moja kubwa Sana ambayo hiyo ndio humpa mtu ushawishi na kupata wafuasi wengi. Ukiikosa sifa hii huwezi kupata wafuasi labda ushabikiwe na Mke na watoto wako.

Polepole wengi wetu tulianza kumfahamu na bila Shaka alianza kupata nguvu ya ushawishi katika taifa letu wakati WA mchakato wa Rasimu wa Katiba Mpya. Hapo Polepole alionyesha uwezo ambao wengi walivutwa naye, Kauli zake za kujiamini zilizotoa ishara ya msimamo na kuijali jamii yake zilifanya watu waanze kumfuatilia. Pengine wengine wengi walifikiri Polepole angefaa siku moja kupewa Nafasi ya juu ndani ya taifa hili.

Hii ni kusema katika masuala ya kisiasa, utawala na uongozi ili upate wafuasi wengi na umashuhuri yakupasa uwe na MSIMAMO usioyumbishwa,

Msimamo, kutetea kile unachokiamini kiwe kizuri au kibaya ndio sifa namba moja ya kuzingatiwa ili upate wafuasi.

Wanadamu kikawaida wanahitaji mtu wa kumtumainia, kumtegemea, na ili utegemewe na kutumainiwa na wanadamu lazima uwe na sifa ya kutokuwa Kigeugeu, yaani lazima uwe na MSIMAMO.

Siku zote mtu Kigeugeu hawezi kuwa na wafuasi kwani hawamuamini, binadamu ni rahisi kumuamini adui yake ambaye anamsimamo kuliko rafiki Kigeugeu.

Rafiki Kigeugeu anasifa ya unafiki, uoga, na tabia ya kuuma na kupuliza.

Mtu mwenye msimamo siku zote haogopi matokeo ya msimamo wake. Na Hilo ndilo linalomfanya atumainiwe.
Mtu mwenye msimamo lazima awe jasiri, asiyemwoga kusimamia kile anachokiamini.
Ingawaje kila mwanadamu anakiwango chake cha lakini Mtu jasiri uoga wake uwe mdogo kabisa labda 10%.

Mifano ya watu waliopata wafuasi Kutokana na MSIMAMO usioyumbishwa uliosababishwa na ujasiri Kwa hapa Tanzania ni pamoja na Hawa;

1. Tundu Lisu.
Huyu alikuwa jasiri na mwenye msimamo mwanzo mpaka mwisho. Ndio maana mpaka Leo lipo kundi la watu linalomwamini Sana Lisu.
Ninaposema ujasiri na MSIMAMO kumbuka sijasema MSIMAMO katika nini, unaweza kuwa msimamo wa Jambo jema au Baya. Lakini msimamo ni msimamo. Ndio maana kiroho Mungu anasema uchague kuwa baridi au Moto, hataki mtu Kigeugeu (vuguvugu) Leo Moto kesho baridi.

2. Hayyati Magufuli.
Huyu ni kiongozi ambaye alikuwa na msimamo mkubwa na jasiri katika hilo hakuna atakayebisha.
Mtu mwenye msimamo atakachoamua ndio hicho hicho hata Kama kitaleta matokeo mabaya.
Mtu hivi ni rahisi kupata wafuasi Kwa sababu ndivyo inavyotakiwa.

Magufuli alikuwa tayari hata kufa lakini apiganie kile alichokiamini. Hiyo ni tabia ya Kiongozi.
Ingawaje Mimi nilikuwa natofautiana na Mambo yake baadhi lakini nilikuwa rahisi kumtumainia Magufuli kuliko kutumaini mtu Kigeugeu asiye na msimamo.

Yaani ni Bora umtumaini Shetani mwenye msimamo kuliko Malaika Kigeugeu asiyeeleweka

3. Roma Mkatoliki & Nay wamitego.
Hawa ni Vijana wadogo, Wasanii lakini wanamsimamo na hawaogopi kusema kile wanachokiamini. Kupata watu wakuwatumainia ni kawaida kwani hawa huwa watetezi WA watu. Wasema ukweli.

Unajua hakuna Jambo gumu Kama kupinga na kulisema kweli mbele ya watawala.

4. jenerali Ulimwengu.
5. Mbunge Msukuma
6. Mbunge Bwege.
7. Mchungaji Anthony Lusekelo.

Miongoni mwa watu wengine wenye misimamo na kile wanachokiamini.

Ukitaka upoteze ushawishi kwenye jamii kuwa Kigeugeu.
Ukiwa unaishi Kwa kuyumbishwa hakika hakuna atakayekuzingatia.

Ukiamua kutetea mafisadi amua kutetea mafisadi, utapata wafuasi wengi tu. Na hata mafisadi wenyewe watakutumaini.
Lakini leo unatetea mafisadi kesho wenye haki unafikiri Nani atakutumaini? Hao mafisadi wenyewe watakuona huyu ni mnafiki na wenye haki nao wataona wewe ni mnafiki.

Na mnafiki Hana wafuasi.
Siku ukikutwa na shida ndio utajua kuwa mnafiki Hana wafuasi.

Shetani anawafuasi wengi, na wapo wanaomtumainia Kwa sababu anamsimamo, tangu amechagua kuwa upande wa ubaya hajawahi kusaliti kambi. Yeye ni mbaya na ndio huo ubaya, Hana unafiki.

Hata Mungu anampenda Shetani Kwa sababu ya msimamo huo.
Shetani anawafuasi wengi Kwa sababu anasifa ya muhimu ya uongozi ambayo ni MSIMAMO.

Sasa ndugu yangu POLEPOLE yeye amekosa sifa hii.
Hana MSIMAMO,
Leo anasema Katiba Mpya haina umuhimu wowote tumuache Mama afanye kazi. Kwani hicho ndicho alichokiamini kipindi kile alivyojifanya Mdau mkubwa wa Katiba Mpya?

Hata viongozi wenyewe wenye akili zilizotulia wanajua watu wenye tabia za Polepole, ukigeugeu, kutokuwa na msimamo.
Kipindi cha Magufuli, walisema Katiba Mpya sio muhimu, kaja mama wanasema vivyo hivyo, akija mwingine watasema halikadhalika.

Ndio maana Serikali makini haiwezi tishiwa na mtu Kigeugeu, serikali makini haiwezi yumbishwa na mtu anayeyumba yumba Kama Mlevi. Mara upande huu mara upande ule,

Watu wanasema mbona Serikali haimzuii Polepole kusema, hivi kuna mtu atamzuia mtu anayeyumba yumba asiseme?
Mtu asiye na Jambo analolisimamia, anayeyumba yumba ni Kama Mlevi huwezi mzuia asiseme, Leo atasema hivi kesho atakataa alichosema leo atasema alikuwa amepewa pombe.

Polepole anajifanya kuikosoa serikali(ni Haki yake na anafanya vyema) lakini anakosa kuaminiwa na kuzingatiwa na wasikilizaji wake Kwa sababu hawamuamini.
Mbona wakati wa Magufuli alikaa kimya Kama hapakuwa na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinaendelea.

Kama POLEPOLE angejipambanua Kama msema ukweli na mtu mwenye MSIMAMO tangu kipindi cha Magufuli, hivi leo watu wengi wangemuamini na kumzingatia. Lakini hakuna atakayemzingatia na serikali haiwezi kumhofia mtu asiye na MSIMAMO hata siku moja.

Atachukuliwa Kama Wale Vijana wa mitandaoni wanaoendeshwa na Hisia zao,

Ni Kama vile CHADEMA, inayumba yumba Kama Mlevi. Leo isimamie hili kesho ilikane. Doooh!!!

Acha nipumzike!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Stone town, Zanzibar
Ukiwa na msimamo thabiti jiandae kutukanwa kama Magufuli..
Ukiwa huna msimamo pia jiandae kuzodolewa kama Kikwete.
 
Back
Top Bottom