Polepole ana pwaya, kila siku press na hatokei kama huna la maana kaa kimya. Katiba ya Warioba ulishindwa ccm utaweza?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG-20170831-WA0023.jpg
Huyu mzee kijana kila siku anatafuta kiki kwa pikipiki na haitimii au akiita press vitu avavyoongea ni vya ajabu ajabu sana yaani anavyotumia mda kuitangaza haiendani na kile kinachotarajiwa.

Sasa kama katiba na alisimama kuitetea ilimshinda na akaangukia pua je ccm ataiweza?
 
thats too bad. kama alipwaya ukuu wa wilaya, anapwaya hata hapa, sasa ataweza kazi gani nyingine ya kuwasaliti watz? arudi tu kwenye NGOs
 
View attachment 579110 Huyu mzee kijana kila siku anatafuta kiki kwa pikipiki na haitimii au akiita press vitu avavyoongea ni vya ajabu ajabu sana yaani anavyotumia mda kuitangaza haiendani na kile kinachotarajiwa.

Sasa kama katiba na alisimama kuitetea ilimshinda na akaangukia pua je ccm ataiweza?
Ameshaongea na waandishi wa habari, habari kuu ilikuwa ni ccm kushinda rufaa ya ubunge jimbo la Longido hivyo uchaguzi utarudiwa tena kwa mjibu wa taratibu za Tume ya Uchaguzi nchini.
 
View attachment 579110 Huyu mzee kijana kila siku anatafuta kiki kwa pikipiki na haitimii au akiita press vitu avavyoongea ni vya ajabu ajabu sana yaani anavyotumia mda kuitangaza haiendani na kile kinachotarajiwa.

Sasa kama katiba na alisimama kuitetea ilimshinda na akaangukia pua je ccm ataiweza?
Labda alisahau kwamba kesho ni sikukuu, so breaking news ataiachia baada ya Sikukuu!
 
Ndo effect ya kumchagua mtu kwa kua alikusifia.
Napia kaka kijana a learn kua Sio kila unapo teuliwa na uliye msifia unakubali maana akitokeza mwenye degree2 zakusifia nakutoa matamko yenye kumliwaza ngosha did q msaníi Utatumbuliwa tu Kama nape alivyo fanywa na babashite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom