johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,722
- 141,583
Mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole amesema anamshangaa sana mwenyekiti wa CHAUMMA, Hashim Rungwe Sipunda kwa kudai chama chake kimejitoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Polepole amesema CHAUMMA hakikuwepo kwenye uchaguzi kwa sababu hakuna mwanachama hata mmoja wa chama hicho aliyechukua fomu za kugombea.
Kadhalika chama hicho hakikupata kura hata moja katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Pia CHAUMMA hawana ofisi Mikoani, Wilayani wala kwenye Kata sasa wanajitoa kutokea wapi?......ameuliza na kushangaa ndugu Polepole.
Chanzo: Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Polepole amesema CHAUMMA hakikuwepo kwenye uchaguzi kwa sababu hakuna mwanachama hata mmoja wa chama hicho aliyechukua fomu za kugombea.
Kadhalika chama hicho hakikupata kura hata moja katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Pia CHAUMMA hawana ofisi Mikoani, Wilayani wala kwenye Kata sasa wanajitoa kutokea wapi?......ameuliza na kushangaa ndugu Polepole.
Chanzo: Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!