UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
Mungu anisaidie tu na kunisamehe ila huyu jamaa nilimheshimu kipindi kile ila sasa sijui namfananisha na nini
Huu jamaa inabidi apimwe uwezo wake wa kufikili maana hatumuelewi
ziliyeyushwa na mfumo wa chamaNazitamani na nazitafuta akili na busara za Polepole Humphrey wa Tume ya Warioba sizioni kabisa, sijui zilirukia wapi!!!!
Kama busara ni kwa pole pole kumsifu lowasa wa chadema basi utasubiri sana , na wala haitatokea, bora uwaze kingine.Nazitamani na nazitafuta akili na busara za Polepole Humphrey wa Tume ya Warioba sizioni kabisa, sijui zilirukia wapi!!!!
Jamani wakati mwingine tuwe wakweli huyu polepole mimi siyo fan wake lakini sikutegemea kama ningesema hili kila alichokiongea kina maana kabisa. Hizi siasa za kurukia rukia mambo mazuri kutaka kuyamiliki basi akifanya na mengine wayachukue. Nilichokiona hapa kwa Chadema ni wivu tu wa kisiasa. Baada ya kumvuruga sana rais kwa matukio mengi na Lissu likiwemo walitaka approval ya rais ishuke lakini uzuri kwa mwenzao ana njia nyingi za kuwapiga bao na hii kaitumia kurudisha wale waliotoka ktk train lake hata kama hakua na mpango wa kumtoa. CHADEMA tafuteni njia nyingine ya kushindana na huyu maana inaonekana anaifahamu mikakati yenu yote.
akili zao humgaia mwenyekiti wao. afu wao wanabaki vichwamaji.Nazitamani na nazitafuta akili na busara za Polepole Humphrey wa Tume ya Warioba sizioni kabisa, sijui zilirukia wapi!!!!
Nazitamani na nazitafuta akili na busara za Polepole Humphrey wa Tume ya Warioba sizioni kabisa, sijui zilirukia wapi!!!!