Polepole alikataa kuwa DC sasa auvalia suti

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,601
94,726
Wana jamvi,

Tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za Wakuu wa Wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya Jaji Warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha!

Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh. rais Magufuli, je tuendelee kumwamini Polepole?

1468404837662.jpg
 
NILWAHI KUSOMA KWENYE BIBLIA KWAMBA NJAA ILIPOMZIDI ESAU ALIUZA UKUBWA WAKE KWA MDOGO WAKE YAKOBO....(KWAHAKIKA HII HADITHI INAFUNZO KUBWA SANA)
Mkuu kwa maana nyingine ni njaa iliyokuwa inapelekea hao yote?
 
Mna wivu kweli? Nasubiri unipe taarifa kama mbaazi zimeanza kukauka. Mwaka huu nataka kuexport za kutosha
Mimi siwezi kuwa na wivu kwa wateuliwa kwani nina kosa sifa moja kubwa sana na muhimu ya ukada
 
Ha haaa haaaaa.. . Mkuu huyu jamaa ni noma.... Cameron pamoja ya kuwa muda wake wa kuwa waziri mkuu wa UK haujaisha, lakini kajiudhuru kutunza kile anacho kiamini.... Polepole hawezi kuishi yale anayo yahubiri na kuyaamini......
 
Wana jamvi tutakumbuka ni jinsi gani Polepole alivyokuwa anapinga nafasi za wakuu wa wilaya kwa kuisimamia rasimu ya katiba ya jaji warioba, alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa vyeo hivyo ni vya kupoteza fedha! Sasa nashangaa kuvalia suti kuingia ofisi hiyo hiyo baada ya kupewa nafasi hiyo na mh rais magufuri, je tuendelee kumwamini polepole?View attachment 365900
Msimamo mbele ya posho ?!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom