Polepole ajifunze kusoma alama za nyakati na aheshimu ulimwengu

Nikimsikiliza Polepole wala sion kama kuna mtu kamshambulia ye anaendana na somo lake, Historia ya kweli yq nchu mbalimbali nass tuwe macho kuepukana na vitu hivo! Chaajabu watu mnaibuka kumpinga as if kuna mtu anamtaja kwenye somo lake.
Anachokisema Polepole kilikuwepo hata Serikali ya awam ya 5. Ni kawaida kabisa kuwa na kundi, anajisahaulisha labda kwa kupenda au kutokupenda ila hata yeye ni mmoja wa benefuciary wa hilo, na hakukemea wakati ule.
 
Only great thinkers watamuelewa pole pole. TIME HEALS ALL WOUNDS
Hana lolote mkuu. Aliaminika zamani, kwa sasa hana mvuto tena. Mienendo yake baada ya kula mavyeo hayakuakisi Polepole yule tuliyemfaham hapo zamani. Na kwa kuwa muda ni mwalimu mzuri, na kwa kuwa Technology ni mchawi, atakumbushwa kwa maneno yake mwenyewe wakati akiwa mpigania nchi na wakati amepata vyeo.
 
Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Polepole atuambie tu stori za VIEITEEE..
Mengine binafsi simuelewi.
Gwajiboy kaufyataaaah

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Nikimsikiliza Polepole wala sion kama kuna mtu kamshambulia ye anaendana na somo lake, Historia ya kweli yq nchu mbalimbali nass tuwe macho kuepukana na vitu hivo! Chaajabu watu mnaibuka kumpinga as if kuna mtu anamtaja kwenye somo lake.
Binafsi sikuwahi kumsikiliza ila Kama somo lake linalenga kumnanga kiongozi wa sasa basi watu watajua tuu hata Kama atatumia mafumbo.
 
Do we want to live in the past? Or should we now start to look forward?
images%20(1).jpg
 
Nakubaliana nawewe THE BIG SHOW hili genge la polepole enzi za magufuli ndio lilikuwa Sheria ndio waliamuwa Nani afe Nani aishi leo mpumbavu huyu amepigwa kumbo kwenye keki ya taifa anajidai anaanzisha shule ya unafiki mtupu. Na bado mabaya yanakuja juu yake. Ajiulize mbona mwenzake bashiru ameamuwa kuplay low profile?....
Hawa wanaamini kuna siku Askofu Rashid atamfufua dhalim mwendazake ili warudi kwenye chati tena
 
Binafsi sikuwahi kumsikiliza ila Kama somo lake linalenga kumnanga kiongozi wa sasa basi watu watajua tuu hata Kama atatumia mafumbo.
Mimi sijaona kama anamnanga kiongozi wa nchi isipokuwa kuna kihali cha kujishtukia.
 
Anachokisema Polepole kilikuwepo hata Serikali ya awam ya 5. Ni kawaida kabisa kuwa na kundi, anajisahaulisha labda kwa kupenda au kutokupenda ila hata yeye ni mmoja wa benefuciary wa hilo, na hakukemea wakati ule.
Kwani Polepole anachokifundisha amesema kipo katika Serikali ya Mama Samia? Amesema Serikali ya awamu ya 6 imepigwa copy? Binafsi naona Polepole anachokielezea nchi nyingi za Africa kipo na ndiyo kinatupa mkwamo katika maendeleo ya mataifa yetu.
 
Kwanamna nyingine unaweza kusema "ameshasoma" alama za nyakati akaona ni wachovu na hawana ujasiri wa kumchukulia hatua yoyote.
 
Polepole anafundisha somo lake kwa ujumla lakini watu mnakuja kumchonganisha na rais kamakwamba uzalendo ni dhambi hakuna sehemu polepole kamtaja mtu lakini ndo abatungiwa uzi mwingi wa kumdhiaki. Ni kibaya kipi polepole amekiongea kama sik kujitia ujuwaji.
 
Polepole anafundisha somo lake kwa ujumla lakini watu mnakuja kumchonganisha na rais kamakwamba uzalendo ni dhambi hakuna sehemu polepole kamtaja mtu lakini ndo abatungiwa uzi mwingi wa kumdhiaki. Ni kibaya kipi polepole amekiongea kama sik kujitia ujuwaji.
Anasema serikali ya awamu ya sita inaendeshwa na kikundi kilicho nje ya serikali.
Je hiyo siyo kashfa kwa mheshimiwa Raisi.

Anaonesha Raisi hana maamuzi zaidi ya kukisikiliza hicho kikundi, kama hicho kikundi ni cha raia wa Tanzania kina haki kumshauri mheshimiwa raisi bila shinikizo na kama ushauri wa maana unachukulia la unaachwa.

Kama ana dukuduku kwanini halisemi Bungeni.

Kwa haraka haraka hapa wadadisi wanahisi ni kikundi cha Msoga.
Nani hafahamu kama Vijana wa Msoga walitupwa nje ya kapu enzi za utawala wa akina Polepole
Leo akina Januari wanarudishwa madarakani Polepole hataki.

Kumbuka nchi hii ni ya Watanzania wote na wote wana haki ya kuwa viongozi.
Raisi Samia amaeamua kujumuisha kambi zote katika uongozi wake.

Polepole alikuwa wapi wakati Sukuma Gang inatawala nchi kwa mabavu ?
Akina Musiba kila kukicha walijitokeza hadharani kutisha watu, kutukana watu Polepole alikuwa Kimya kabisa.
Watu wamepigwa risasi zisizohesabika, wengine hawajulikani walipo hadi leo hii, Polepole alikuwa Kimya.

Wakati huo hata juhudi zake za awali za upatikanaji wa Katiba huru alizisahau kabisa.

Na Mengineyo mengi tu.
Huu ni usaliti kwa wananchi na nchi kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom