Uchaguzi 2020 Polepole acha kuruka viunzi, tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani

Tatizo la lumumba ni vilaza. Hoja ya Lissu sio kiasi gani kilipitishwa na Bunge, hoja yake ni kiasi gani kimelipwa kwa kila ndege???

Bunge kupitisha bilioni 400 kununulia ndege haimaanishi hela yote imeenda kutumika kununulia ndege. Inawezekana wametumia bilioni 200 tu kununua ndege na nyingine wakaweka mfukoni.

Majibu kwa hoja za Lissu ni kuwa CCM waoneshe bank transactions kutoka serikali ya Tanzania kwenda Boeing na Bombardier kuonesha walilipa shilingi ngapi kwa kila ndege not otherwise.

Bado CCM hamjajibu hoja za Lissu!! Mnaweweseka tu 😂😂😂😂😂😂
Waje wote na Mpwa Dotto James ajibu hapa MLILIPA SHILINGI NGAPI? zilizobaki zi wapi?

 
Sijakiri, maana sina uhakika kama pesa imepigwa,najua manunuzi yalifuata taratibu na order zikawa placed kwa watengenezaji. Sasa kama zimepigwa sijui zilipigwa vipi? Maana hata ukiingia kwenye mtandao bei ya Bombardier au Dreamliner unaiiona. Sasa huo upigwaji ulifanyikaje?
Hebu wekeni mkataba mezani
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.

Acha upumbavu!jibaba zima lina lialia maisha magumu..
Unapenda vyabure eeeh!
Unataka polepole afanye nn,kama umeshindaje kupambana,shauri yako.
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.


Lochumia tumbo hilo dude halina maana kabisa
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.

CCM hawawezi kusaidia wananchi waliishiwa pumzi hata kabla ya covid-19 kwasababu wanatutawala km mifugo hakuna utawala wa haki wanaamua kufanya wanachotaka bila kujadiliana(bila demokrasia) kinacho shangazi kodi zetu wananchi wanaomba kwa mtu mmoja ambaye anazitoa kwa masimango na kejeli 'this regime has run this country like a company or a family '
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.

Professor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).

Result? It doubled.

I now understand why he says these large crowds are "fake". You can't spend 5 yrs repressing people's basic freedoms and still expect to win their hearts and minds or else you are so dumb
 
Huyo mlala channel ten ataeleza nini maskini ziro ya P C M Azania ,vipi milioni hamsini kila kijiji ? Vipi ajira milioni sita ? Vipi malipo ya wastaafu , nyongeza za mishahara , madaraja , madeni ya watumishi Polepole ak.a Chakubanga hebu tujibu na haya ?
 
Tatizo la lumumba ni vilaza. Hoja ya Lissu sio kiasi gani kilipitishwa na Bunge, hoja yake ni kiasi gani kimelipwa kwa kila ndege???

Bunge kupitisha bilioni 400 kununulia ndege haimaanishi hela yote imeenda kutumika kununulia ndege. Inawezekana wametumia bilioni 200 tu kununua ndege na nyingine wakaweka mfukoni.

Majibu kwa hoja za Lissu ni kuwa CCM waoneshe bank transactions kutoka serikali ya Tanzania kwenda Boeing na Bombardier kuonesha walilipa shilingi ngapi kwa kila ndege not otherwise.

Bado CCM hamjajibu hoja za Lissu!! Mnaweweseka tu
Kumbe wepesi sana mwanzo ilisemekana ununuzi wa ndege hakupita mchakato bungeni. Ujue tuna wa zoom tu, tutakuja kwenye mikutano yenu ila kura hatuwapi
 
Kwani bajeti ndiyo bei anayolipwa mzabuni, tunataka mikataba kuona wazabuni wa hizo tenda wamesaini kulipwa kiasi gani sheria inataka mikataba mikubwa iwekwe wazi kwa wananchi kwanini inafichwa kuna shida gani na sheria ipo tangu 2017. Msituletee habari za bajeti mikataba ndiyo inatakiwa tuone watalipwa pesa hizo kutoka wapi maana kuna trillion za SGR kuna trillion za bwawa la Umeme, mikataba yake iko wapi acheni kutupiga chenga. Tunataka kujuwa hizo pesa za kulipia hiyo miradi zinatoka wapi na masharti yake yakoje.
Wananchi ni bunge, au kila mtu apostiwe kwenye simu yake
 
Maisha yashakuaga maraisi lini? we unadhan tanzania kuna maisha magumu? ulishawahi kufanya kazi anywhere kwenye states za marekani? ushawahi kulipishwa kodi 60% wewe? maisha magumu yaskie tu

Pumba! USA tumekaa na tumefanya kazi!
 
Huyo mlala channel ten ataeleza nini maskini ziro ya P C M Azania ,vipi milioni hamsini kila kijiji ? Vipi ajira milioni sita ? Vipi malipo ya wastaafu , nyongeza za mishahara , madaraja , madeni ya watumishi Polepole ak.a Chakubanga hebu tujibu na haya ?
Hudhuria kampeni za mgombea udiwani na ubunge eneo lako utapata hayo majibu
 
Professor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).

Result? It doubled.

I now understand why he says these large crowds are "fake". You can't spend 5 yrs repressing people's basic freedoms and still expect to win their hearts and minds or else you are so dumb

The opposition, by its name, opposed itself, enventually falling into depression. The next 5 years will be even more repressing and depressing. Watch ma words
 
Back
Top Bottom