tereweni
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 617
- 361
Wadau!!
Ile ahadi ya raisi ya kufanya shughuli zao mpaka hata katikati ya mji mpaka hapo watakapotengewa maeneo yao, imeyeyuka.
Ni asubuhi ii tu, watu wameamka na kukuta mabanda yao(vitega uchumi vyao) vikiwa chini na polisi pamoja na mgambo kibao kila kona.
Poleni sana ndugu wa Makoroboi, maduka tisa sokoni na kwengineko.
Ile ahadi ya raisi ya kufanya shughuli zao mpaka hata katikati ya mji mpaka hapo watakapotengewa maeneo yao, imeyeyuka.
Ni asubuhi ii tu, watu wameamka na kukuta mabanda yao(vitega uchumi vyao) vikiwa chini na polisi pamoja na mgambo kibao kila kona.
Poleni sana ndugu wa Makoroboi, maduka tisa sokoni na kwengineko.