Galamgendela
Member
- Jul 13, 2015
- 83
- 36
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ni wasimamizi wa uchaguzi katika jimbo lililopo ktk halmashauri yake. Octoba 2015 ulifanyika uchaguzi mkuu nchini, ambapo baadhi ya wakurugenzi walishiriki kuchakachua matokeo na kuwabeba wabunge wa chama tawala na kutangaza ni washindi kinyume na maamuzi ya wapiga kura.
Ajabu wale wote waliotangaza wapinzani kuwa washindi wamekwenda na maji, sambamba na hao ambao walijipendekeza kutangaza CCM imeshinda wakati haikushinda ktk majimbo hayo.
Tahadhali!, tunakokwenda serikali itakuwa inaajiri watu kufuata itikadi za siasa. Ukionekana huna kadi ya CCM utaishia kusikia tu utumishi wa umma.
Hii si ishara njema kwa ustawi wa demokrasia nchini.
Ajabu wale wote waliotangaza wapinzani kuwa washindi wamekwenda na maji, sambamba na hao ambao walijipendekeza kutangaza CCM imeshinda wakati haikushinda ktk majimbo hayo.
Tahadhali!, tunakokwenda serikali itakuwa inaajiri watu kufuata itikadi za siasa. Ukionekana huna kadi ya CCM utaishia kusikia tu utumishi wa umma.
Hii si ishara njema kwa ustawi wa demokrasia nchini.