Kuna kiongozi ataenda kwenye press huku amebeba tv...Mimi mpenzi wa mpira na mpenzi wa Yanga,sio shabiki kama ww na mpira naujua Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi sasa hivi hawajiamini na wana presha sababu Mwenzao kafungiwa miaka mitatu.
Kuna kiongozi ataenda kwenye press huku amebeba tv...Mimi mpenzi wa mpira na mpenzi wa Yanga,sio shabiki kama ww na mpira naujua Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi sasa hivi hawajiamini na wana presha sababu Mwenzao kafungiwa miaka mitatu.
Aussems nae alikuwa mbovu tu, kocha Simba alikuwa Masoud Djuma na Leschante.Mpira ni dakika tisini. Ndivyo ilivyotokea leo. Poleni sana. Mpira wenu kwa kweli umerudi nyuma sana siyo kama wakati wa Patrick ausemms. Mjitafakari muone kuna tatizo wapi. Lile boli la kutandaza halipo tena.
Muwe na makocha wazuri wa makipa. Naona makipa wote wawili wana matatizo fulani. Wote ni wazuri lakini mipira inayowapita ni mipira isiyotarajiwa.
Nahitimisha tena POLENI SANA.
Muhimu JKT kapata pointi 3 na mbumbumbu kafungwa! Malipo hapa hapa, mliwadhulumu Namungo na Polisi hivi hivi!Mimi mpenzi wa mpira na mpenzi wa Yanga,sio shabiki kama ww na mpira naujua Boko na Fraga hawakuwa offside.Waamuzi sasa hivi hawajiamini na wana presha sababu Mwenzao kafungiwa miaka mitatu.
Leo yamewakuta Simba imekuwa "malipo duniani", je Polisi Tz wamehonga? I dont believe so. Siamini pia kuwa Simba wanahonga.Muhimu JKT kapata pointi 3 na mbumbumbu kafungwa! Malipo hapa hapa, mliwadhulumu Namungo na Polisi hivi hivi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio kocha, hata bila kocha timu inashinda, tatizo ni timu zingine haziongek!Tatizo la SIMBA linaanzia kwa mwekezaji, bodi ya wakurugenzi, msemaji.
Haiingii akilini unamtimua Uchebe afu unaleta kocha ambaye CV yake haipishani na ya Zuberi Katwila