kilght
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 634
- 181
Leo ilikuwa ni siku ya mazishi ya mke wa Waziri wa Michezo apumzike kwa amani lakini chakusikitisha ni kuwa kazi zote leo silisimama kwa takribani masaa sita barabara zilifungwa kwa kila kiongozi aliyepita Ndugai, Majaliwa Makamu wa Rais nk na kila mmoja alipita kwa wakati wake na bila utaratibu mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app