Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.
Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .
View attachment 1949458
Hapo huna njia ya kutoilaumu ccm maana hao machinga wamezalishwa na uhaba wa ajira na ccm ndiyo chama kinachounda serikali.Siipendi ccm ila kwa hili nawaunga mkono, hao jamaa wanafanya biashara kila sehemu
kwa hiyo solution ni kuwavunjia usku wa manane na kuwaibia vitu vyaoUkitumia ustaarabu kamwe wamachinga hutoweza kuwaondoa
Hamueleweki nyie wanaoipinga ccm! Nyie ni janga ingawa Viongozi wa CCM ni majanga zaidiCcm ni janga kuliko hata corona
Huwezi kuwa leo kulia na kesho kushoto, na keshokutwa kulia tena. Huko ni kukosa msimamoKutofautiana mawazo hakukufanyi uwe janga
Nakumbuka mchoma mahindi pale njia panda ya kilosa na dodomaTutawajengea tena miezi 3 kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 ila kwa sasa watusamehe kwanza tunajenga nchi.
Nchi haiwezi kuwa na vibanda popote pale..haiwezekani..majiji yote duniani yana sheria za miji na ni lazima ziheshimike.
True, tuwe nchi ya utaratibu.Watembea kwa miguu pia Wana haki
Ni TANZANIA pekee kila mtu hata mwenye uwezo anajiita machinga!Tatizo wamachinga wanajiweka kwenye kundi la vulnerable kama wasiojiweza wazee na watoto. Wanataka serikali iwapatie sehemu za biashara, iwape mitaji, wasifuate sheria zozote, wasilipe kodi , hata akiwa na uwezo wa kukodi fremu hataki
Anacheza na moto!lqkini huwezi kuvunja jiji zima na mali zikiwemo..siwaliwapa mwezi mmoja..mama samia atie ajira kwa malaki ya graduates ana kama hawezi basi aache watu wajitafutie riziki..utqratibu uliotumika Dar ni wakikatili sana kwa watu masikini..Hii Tabia ilikuwepo wakati wa kikwetwe..mgambo kuwanyanganya machinga mali zao