Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa... Kazi iendelee ... kwa utaratibu...Utaratibu ni muhimu swahiba
Dada Kuna watu wanafanya makosa makubwa Sana hivi Sasa...Nina maana ya viongozi baadhi yao...ni dhahiri Mama amezungukwa na watu wa ajabu...Muda utasema 1954
Naunga mkono hojaSi mlisema ninyi ni wanyonge, sasa ni muda wa kunyongwa....
Kila siku unapiga kelele humu kuwa wamachinga wamezidi na miji yetu ipangwe! Leo serikali imefanya kweli, unageuka unaanza kuil au ku! Huo ni undumilakuwili lack of ideological sensesKuwa mwana ccm inahitaji kujitoa akili
Dada Kuna watu wanafanya makosa makubwa Sana hivi Sasa...Nina maana ya viongozi baadhi yao...ni dhahiri Mama amezungukwa na watu wa ajabu...
Kuwa CCM haina maana hautakuwa na mtizamo binafsi.Suala ni ccm kuwa ndumila kuwili kwani mwendazake hakuwa ccm?
Ukitumia ustaarabu kamwe wamachinga hutoweza kuwaondoaKwa hili MAKALA namlaumu sana anatakiwa kufukuzwa maana kama wametoa mwezi halafu unavunja usku wa manane na mali za watu unachukua!
Mkuu wa mkoa aliambiwa na Rais watoeni kwa staha
kwako DADA UMMY sasa una la kuongea sema na wewe TUKUSKIE au CCM ni ileile
Siipendi ccm ila kwa hili nawaunga mkono, hao jamaa wanafanya biashara kila sehemuSiku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.
Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .
View attachment 1949458
Huwezi mtenganisha mtz na mikopoSiku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.
Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .
View attachment 1949458
Wamachinga Wana pesa kuliko wenye maduka..alaf wanajiita wanyongeMmachinga kakopa milioni 15! Kama hajatumwa kuchafua basi anastahili kuondolewa
Mkuu kazi zinazowapa watu riziki unaita uchafu.Haya ni maisha tu na hakuna anae penda akae hapo nje.Mm binafsi nawaonea huruma sana maana nao wana familia na ukiangalia kwa sasa ajira ni ngumu sana ......so sadHao wamachinga walijiona nao ni wafanyakazi wa ikulu, nasema hivi, kazi iendelee...
Watolewe na uchafu wao.
Nchi ionekane kwamba ina sheria za usafi wa mazingira na wizara ya mazingira na mabwana afya.
Everyday is Saturday...............................
Usiku ndo vzuri...mnakuja asubuhi mnakuta peupe..mnataka wafanye mchana ili mlete fujoHizi mbinu Za Kuvunja Usiku wa Manane aliwahi kuzitumia Mzee Kandoro Enzi hizo....Zilizalisha Chuki Ya Ajabu zidi Ya C.C.M ilifika mahala Ukionekana Umevaa Sare Zao Unazomewa mji Mzima....!
Sasa Mzee Makalla ndo kaja na ubunifu huu,
Ama Kweli Wavunja chama ni Wale wale Wenyewe....!
Hakuna kujificha kwenye chama machinga warudi walikotokaHizi mbinu Za Kuvunja Usiku wa Manane aliwahi kuzitumia Mzee Kandoro Enzi hizo....Zilizalisha Chuki Ya Ajabu zidi Ya C.C.M ilifika mahala Ukionekana Umevaa Sare Zao Unazomewa mji Mzima....!
Sasa Mzee Makalla ndo kaja na ubunifu huu,
Ama Kweli Wavunja chama ni Wale wale Wenyewe....!
Wamechafua majiji na miji,Mkuu kazi zinazowapa watu riziki unaita uchafu.Haya ni maisha tu na hakuna anae penda akae hapo nje.Mm binafsi nawaonea huruma sana maana nao wana familia na ukiangalia kwa sasa ajira ni ngumu sana ......so sad
Tatizo waliendekezwa na mwenyekiti wa ccm na walihakikishiwa kabisa kuwa hakuna mtu wa kuwagusa maana waliichagua ccm.Wamechafua majiji na miji,
Hilo halipingiki,
Wameziba mitaro ya maji ya mvua na mitaro ya maji taka sewage,
Kama hayo ya wao kutupa matakataka kila mahali unaona ni usafi sina cha kusema, tuendelee kuheshimiana mitazamo, wewe ukiamini kazi zao ni safi, mimi nikiamini zimechafua miji..
Kazi iendeleee...wamachinga huwa wanazurula na biashara mkononi siyo hawa.
Everyday is Saturday..............................
Hata wakiwatandika tu maana walizidi kuishabikia ccm na wakawaita wapinzani kuwa ni wenye uroho wa madarakaNamuomba mama akae kimya Makala asafishe jiji
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app