Poleni sana wamachinga, hiyo ndiyo CCM haijawahi kubadilika

Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.

Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.

Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .

View attachment 1949458
 
Sijawahi kuzipenda kauli hizi za kisiasa kwenye mambo muhimu kama wamachinga majiji yetu lazima yapangiliwe vizuri na biashara zifuate uraratibu. Wamachinga lazima waondoke na hili sii la kisiasa.
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom