NYARUKURURU
JF-Expert Member
- Aug 22, 2016
- 349
- 199
POLENI SANA VIJANA WA CUF NA UKAWA KWA UJUMLA.
Vijana wa CUF na vyama vya upinzani kuweni makini na vyama vyenu ni vya kitapeli na kinafiki mtajikuta mnapoteza muda badala ya kutafuta chama makini Kama wenzenu akina Mchange na Machali walivyoshutuka.
Mwaka huu katika uchaguzi wa marudio Zanzibar viongozi wa juu wa CUF walisusia kwa madai ya kwamba haukuwa wa haki na huru, na kuwadanganya wanachama wao kuwa wataenda ICC lakini mpaka sasa hawajatoa majibu kuwa Mahakama hiyo iliwambiaje.
Cha kushangaza mwakani trh 22 January kuna uchaguzi wa marudio katika jimbo la Dimani mjini magharibi kisiwani Unguja CUF wameteua wagombea watatu ili kumpata mmoja apeperushe Bendera yao ktk uchaguzi huo.
Sasa ninyi vijana wa Ukawa kweli mna akili timamu kwanini msikosoe viongozi wenu kwa kuwapotosha? Kwa sababu Jecha mliesema hamna imani nae bado yupo ndani ya Tume na wajumbe wa Tume bado ni wale wale.
Kwa kweli ninyi ni watu wa ajabu sijawahi kuona wala kusikia katika sayari hii ya Dunia, yaani mnaruka mkoja na kukanyaga mavi!!! Ninyi hamjitambui.
By comrade
Mwita nyarukururu
Mpinga mafisadi
Vijana wa CUF na vyama vya upinzani kuweni makini na vyama vyenu ni vya kitapeli na kinafiki mtajikuta mnapoteza muda badala ya kutafuta chama makini Kama wenzenu akina Mchange na Machali walivyoshutuka.
Mwaka huu katika uchaguzi wa marudio Zanzibar viongozi wa juu wa CUF walisusia kwa madai ya kwamba haukuwa wa haki na huru, na kuwadanganya wanachama wao kuwa wataenda ICC lakini mpaka sasa hawajatoa majibu kuwa Mahakama hiyo iliwambiaje.
Cha kushangaza mwakani trh 22 January kuna uchaguzi wa marudio katika jimbo la Dimani mjini magharibi kisiwani Unguja CUF wameteua wagombea watatu ili kumpata mmoja apeperushe Bendera yao ktk uchaguzi huo.
Sasa ninyi vijana wa Ukawa kweli mna akili timamu kwanini msikosoe viongozi wenu kwa kuwapotosha? Kwa sababu Jecha mliesema hamna imani nae bado yupo ndani ya Tume na wajumbe wa Tume bado ni wale wale.
Kwa kweli ninyi ni watu wa ajabu sijawahi kuona wala kusikia katika sayari hii ya Dunia, yaani mnaruka mkoja na kukanyaga mavi!!! Ninyi hamjitambui.
By comrade
Mwita nyarukururu
Mpinga mafisadi