Poleni sana mliomwaga damu kwa ajili ya CHADEMA, ukweli mmeuona!

Mbowe sasa ahaminiki tukubali tukatae
Madaraka matamu sana hata wewe unayemtetea mbowe ukipewa cheo hutamani kukiachia kirahis
Mi nimeshika madaraka mbalimbali nyingine nilijiuzulu huku nazitaman na nikakosa manufaa ambayo ningekuwa nayo Leo

Wanachama tunatakiwa shinikizo KWA mbowe apumzike ije changamoto nyingine tuone tutakua au kukwama

Kiukweli nyalandu anatufaa
Hata kama n pandikizi tukubaliane kuwa' mchawi MPE mtoto akulelee'
 
Chakaza, Jenga hoja bila jazba, matusi ya nini?
Mdogo wangu tufanye utani kwenye siasa zetu za kawaida maana sisi ni ndugu. Hatuchukiani, mtu asiyetumia akili aonapo pengine Wakudadavuwa na Chakaza wanajibizana hapa anaweza kudhani kuna mtu anamchukia mwingine, lakini sio hivyo hata kidogo.
Sisi ni rafiki na nisipokuona JF sisikii raha hasa kwa kuukosa uongo wako.
Lakini kwenye masuala ya maisha ya watu kupotea au kuumizwa kwa kweli sitaki utani na lugha ikibadilika muniwie radhi.
 
Meningitis umeisha nunuliwa kamanda??
Sio wewe au umeondoka na Boss wako Sumaye ili ukaunge mkono!!
Ndio maana tunawastukia, njaa mbaya saana.
M4 C inasonga mbele ikiongozwa na kamanda Mbowe.
Mchujo unaendelea mtaisha wote mapandikizi wa Lumumba!!
Unaamini Meningitis anaweza kununuliwa?
#trendreading
 
meningitis, Yaani Jiwe atuulie ndugu zetu lawama tumpe Mbowe?
Mnapoleta hoja za ushindani wa kisiasa msiingize maneno yenye kukumbusha hisia za majonzi.
Hivi maneno hayo waweza kuwaambia wazazi wa Ben? Au mke wa Azory?
Usirudie tena kuleta hoja za aina hii maana zinatukwaza sana
Sina lengo la kukwaza ili ukweli lazima uumize ...nilionya hamkuelewa?
 
Mdogo wangu tufanye utani kwenye siasa zetu za kawaida maana sisi ni ndugu. Hatuchukiani, mtu asiyetumia akili aonapo pengine Wakudadavuwa na Chakaza wanajibizana hapa anaweza kudhani kuna mtu anamchukia mwingine, lakini sio hivyo hata kidogo.
Sisi ni rafiki na nisipokuona JF sisikii raha hasa kwa kuukosa uongo wako.
Lakini kwenye masuala ya maisha ya watu kupotea au kuumizwa kwa kweli sitaki utani na lugha ikibadilika muniwie radhi.
Kuanzia Soweto,Iringa, Morogoro walioiishi Chadema walidhurika hoja ya Meninjitis inamashiko,kwa ahadi ya mabadiliko hewa mwaka 2015 mlimtukana kila aliyewaonya....
 
Sumaye na Lowassa wawasili Mwanza, shughuli imekwisha tukutane kesho ccm Kirumba Makamanda
 
Back
Top Bottom