mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,745
Poleni sana Clouds Media kwa msiba mwingine alfajiri hii ya leo wa Mtangazaji ambae sio siri ana wafuasi wengi sana ambao ni wasikiizaji wa kipindi cha Jahazi Ephraim Kibonde aka Kibs,
Kibs ameonekana kama Mshehereshaji kwenye msiba wa kiongozi wake Ruge pale Karimjee mpaka Bukoba, lakini inavodaiwa huko huko Bukoba alianza kujisikia vibaya mpaka siku anaondoka kuja Mwanza anashushwa airport alikuwa akijisikia vibaya zaidi inadaiwa ni presha na hatma yake alfajiri ya leo ametutoka.
Tangu alipopatwa na msiba wa mke wake mwishoni mwa mwaka jana na kurejea kazini mimi binafsi niliona hayuko sawa na kumtaja marehemu mke wake hakukumuisha ilikuwa kama nikujifariji nakukumbuka mema na uvumilivu wa mke wake kwenye ndoa yao, ila kwenye moyo hatujui aliumia vipi kuondokewa na mkewe
Picha aliyoweka juzi kwenye mtandao wa Instagram baada kumpumzisha Ruge ilinifikirisha sana na sikupata jibu, yaweza kuwa kuendesha shughuri ya kumpumzisha Ruge ili muingia sana rohoni mpaka kumkumbuka marehemu mkewe nakupelekea hari yake kiafya kubadilika, ni siri kubwa,
Poleni Clouds, ni siku chache timu ya uzalishaji ilipokuwa inarudi Dar es salaam kutoka Bukoba, walipata ajari maeneo ya nje ya mji wa Dodoma, wakati bado machungu hayajawaisha, poleni sana
Pole Gardner na George team mate ameondoka, mtaimisi san radha yake kwenye kipindi cha Jahazi, George naamini Kibs alikuwa kama kaka yako na ulijifunza mengi kwa kuwa karibu nae, Pole sana kaka, Gardner maumivu uliyonayo siwezi kuyaelezea na ukaribu uliokuwa nao na Marehemu Kibs ni wa muda mrefu, your partner is gone bro, pole sana.
Clouds mlikuwa mmeanza kujipanga kuanza vipindi rasmi na mdogo mdogo mlikuwa mmeanza kurejea ila mmepatwa na mtihani mwingine mgumu sana kuuelezea, sasa ni wakati wa timu nzima kupatiwa msaada wa kisaikolojia ili kurejea kwenye hari na kufnya kazi yote ni mapito, kiongozi mkubwa hana hata wiki tatu mtihani mwingine kwa mtangazaji mkubwa sana sana, simanzi lake halielezeki,
Poleni Clouds Media
Uhai ni Zawadi Kifo ni Lazima,
Pumzika kwa amani Kibs, (Kuzimu hakuna Biaaa,)
Kibs ameonekana kama Mshehereshaji kwenye msiba wa kiongozi wake Ruge pale Karimjee mpaka Bukoba, lakini inavodaiwa huko huko Bukoba alianza kujisikia vibaya mpaka siku anaondoka kuja Mwanza anashushwa airport alikuwa akijisikia vibaya zaidi inadaiwa ni presha na hatma yake alfajiri ya leo ametutoka.
Tangu alipopatwa na msiba wa mke wake mwishoni mwa mwaka jana na kurejea kazini mimi binafsi niliona hayuko sawa na kumtaja marehemu mke wake hakukumuisha ilikuwa kama nikujifariji nakukumbuka mema na uvumilivu wa mke wake kwenye ndoa yao, ila kwenye moyo hatujui aliumia vipi kuondokewa na mkewe
Picha aliyoweka juzi kwenye mtandao wa Instagram baada kumpumzisha Ruge ilinifikirisha sana na sikupata jibu, yaweza kuwa kuendesha shughuri ya kumpumzisha Ruge ili muingia sana rohoni mpaka kumkumbuka marehemu mkewe nakupelekea hari yake kiafya kubadilika, ni siri kubwa,
Poleni Clouds, ni siku chache timu ya uzalishaji ilipokuwa inarudi Dar es salaam kutoka Bukoba, walipata ajari maeneo ya nje ya mji wa Dodoma, wakati bado machungu hayajawaisha, poleni sana
Pole Gardner na George team mate ameondoka, mtaimisi san radha yake kwenye kipindi cha Jahazi, George naamini Kibs alikuwa kama kaka yako na ulijifunza mengi kwa kuwa karibu nae, Pole sana kaka, Gardner maumivu uliyonayo siwezi kuyaelezea na ukaribu uliokuwa nao na Marehemu Kibs ni wa muda mrefu, your partner is gone bro, pole sana.
Clouds mlikuwa mmeanza kujipanga kuanza vipindi rasmi na mdogo mdogo mlikuwa mmeanza kurejea ila mmepatwa na mtihani mwingine mgumu sana kuuelezea, sasa ni wakati wa timu nzima kupatiwa msaada wa kisaikolojia ili kurejea kwenye hari na kufnya kazi yote ni mapito, kiongozi mkubwa hana hata wiki tatu mtihani mwingine kwa mtangazaji mkubwa sana sana, simanzi lake halielezeki,
Poleni Clouds Media
Uhai ni Zawadi Kifo ni Lazima,
Pumzika kwa amani Kibs, (Kuzimu hakuna Biaaa,)