Pole sana ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu ulilopewa na Rais

Baada ya kuangalia hii clip nilimuonea huruma sana na kusikia vibaya. Pole zake nyingi sana.
Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums

Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.

Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!

Hakika mitano tena.

View attachment 1712597
 
Aiseeeeeeeee. Huo ubini ni lazima jibu kama hilo ulitegemee. Hizo siyo bini za vipaaza sauti siku hizi. Unwanted.
😳what a point! nifungue macho mtaalamu... kwanini siyo bini za vipaza sauti now days?
 
Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums

Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.

Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!

Hakika mitano tena.

View attachment 1712597
Mbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tena
 
Back
Top Bottom