Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,591
- 4,634
- Thread starter
- #21
peace be upon youDah!!! Imebidi nicheke tu japo nina hasira.
peace be upon youDah!!! Imebidi nicheke tu japo nina hasira.
Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums
Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.
Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!
Hakika mitano tena.
View attachment 1712597
kwa jibu alilopewa, ningekuwa mimi ningehama nchi.Baada ya kuangalia hii clip nilimuonea huruma sana na kusikia vibaya. Pole zake nyingi sana.
atleast ungekuwa rais ungekuwa na point ya kumjibu vizuri ndugu yetu Kimaro.Huyo kimaro alitaka atumie toilet bure aisee sasa nani atakua analipia gharama za usafi??
jamaa amedhalilishwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah
😳what a point! nifungue macho mtaalamu... kwanini siyo bini za vipaza sauti now days?Aiseeeeeeeee. Huo ubini ni lazima jibu kama hilo ulitegemee. Hizo siyo bini za vipaaza sauti siku hizi. Unwanted.
daah! 😷😷Bado tu mnaendelea kukusanyika
Kauli hizi sidhani kama zimehaririwa kabla
Kwakua ni mchagaKimaro ni mpuuzi kama wapuuuzi wengine
Busara ni muhimu haijalishiHizi kauli ni chungu zenye ukweli
Wa kigamboni hata ile mbizi hatukuipigaga na maisha yanaendelea
Ni kauli za mtu asiye na busara, aliyekosa hekmaHizi kauli ni chungu zenye ukweli
Wa kigamboni hata ile mbizi hatukuipigaga na maisha yanaendelea
Hv Ni leo hyo hbr imetikea au ...kawwambia apeleke mav nyumbani kwake
Mbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tenaHabari zenu wakulungwa wa JamiiForums
Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo.
Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa!
Hakika mitano tena.
View attachment 1712597
Hii app ya JF ina shida sana mkuuMbona kwangu haifunguki, simu yangu inapungukiwa nini kwenye link kama hizi. Nikiclik inanipeleka kwenye ukurasa wa jamii forum tena