Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Napenda kuipa pole za dhati familia ya mpambanaji,asiye mnafiki,mchapakazi Mh.John Pombe Magufuli kwa msiba wa binti yake Juliana John Magufuli 16,aliyefariki tarehe 21.08.2010 ,na anatarajiwa kuzikwa leo huko Chato Biharamulo. Ningekuwa na namba yake ya simu ningempigia kumpa pole kwa msiba huo mzito