Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ugomvi na watu wewe sio bure, japo hawapendi kuambiwa ukweli
Mtoa uzi ni wakusikitikiwa
Mtoa uzi ni wakusikitikiwa
Unawezaje mpa pole Messi wakat katika hao wachezaji wote yeye ndiye kaongoza kwa kuitetea nchi yake
Nafikiri unalolijua ni la Messi kuifikisha Argentina Copa America mara 2 na World cup mara 1
Kwa niaba wanaomchukulia King Messi juujuu ni hivi
Messi Kaifikisha Argentina Final ya Copa America mara 3
Kaifikisha Argentina Final world cup
Kaipa ubingwa wa Fifa world cup u23
Kaipa ubingwa wa Copa America u20
Kaipa ubingwa wa Olympic
MESSI SI MTU WA MCHEZO MCHEZO
kuna tofauti kubwa kati ya senior (sr) na junior (jr) sawa ndugu, Messi tumemjua huku kene senior timu na sio junior timu mafanikio akiwa u23, u21 au u18 hata Andre Dede Ayew wa Ghana anayoMtoa uzi ni wakusikitikiwa
Unawezaje mpa pole Messi wakat katika hao wachezaji wote yeye ndiye kaongoza kwa kuitetea nchi yake
Nafikiri unalolijua ni la Messi kuifikisha Argentina Copa America mara 2 na World cup mara 1
Kwa niaba wanaomchukulia King Messi juujuu ni hivi
Messi Kaifikisha Argentina Final ya Copa America mara 3
Kaifikisha Argentina Final world cup
Kaipa ubingwa wa Fifa world cup u23
Kaipa ubingwa wa Copa America u20
Kaipa ubingwa wa Olympic
MESSI SI MTU WA MCHEZO MCHEZO
Umepanaki.... Acha jazba....unajifanya mtu wa takwimu... Umeelewa picha ina maana gani unajibu usiloulizwaMtoa uzi ni wakusikitikiwa
Unawezaje mpa pole Messi wakat katika hao wachezaji wote yeye ndiye kaongoza kwa kuitetea nchi yake
Nafikiri unalolijua ni la Messi kuifikisha Argentina Copa America mara 2 na World cup mara 1
Kwa niaba wanaomchukulia King Messi juujuu ni hivi
Messi Kaifikisha Argentina Final ya Copa America mara 3
Kaifikisha Argentina Final world cup
Kaipa ubingwa wa Fifa world cup u23
Kaipa ubingwa wa Copa America u20
Kaipa ubingwa wa Olympic
MESSI SI MTU WA MCHEZO MCHEZO
Messi kaitetea Argentina kwenye mashindano gani ya kimataifa ukiachana na timu za u23?Mtoa uzi ni wakusikitikiwa
Unawezaje mpa pole Messi wakat katika hao wachezaji wote yeye ndiye kaongoza kwa kuitetea nchi yake
Nafikiri unalolijua ni la Messi kuifikisha Argentina Copa America mara 2 na World cup mara 1
Kwa niaba wanaomchukulia King Messi juujuu ni hivi
Messi Kaifikisha Argentina Final ya Copa America mara 3
Kaifikisha Argentina Final world cup
Kaipa ubingwa wa Fifa world cup u23
Kaipa ubingwa wa Copa America u20
Kaipa ubingwa wa Olympic
MESSI SI MTU WA MCHEZO MCHEZO
tehe tehe tehe hili povu ndio nilikuwa nalisubiri!Freedom of speech
King Messi anatisha kuliko njaa
Huoni unavyomwaga povu
CR7 anapewa sifa akati hata fainali ni kama hakucheza kabisa, na kuua soo akaamua ajifanye kocha benchi
Kaifikisha fainali
-copa america vs chile 2015/2016
-word cup vs germany 2014
**sifa nzuri ingekuwa kailchukua kabisa kombe sio tu kusema kaifikisha fainali
Eg. C.Ronaldo kalichukua kabisa kombe la Euro 2016 amelishika kombe mkononi
Next time atakubusu wewe, ndio kitu hajafanya badotehe tehe tehe kuna msukule haujauona huu uzi!
cc PNC 1
Wakati watu wanabusu makombe yeye anabusu kopo la maji la 500/=
Haya mawazo mfu alikuwa nayo pia PEP GURDIOLA kabla hajahamia EPL,Ukikuta MTU anaongelewa saana ujue ni wakipekee
Ukikuta familia inakulalamikia wewe chakula kikukosekana ujue wewe ni wapekee bila wewe wakuna familia tena
Bila kumzungumzia Messi hakuna mpira tena kwa dunia iliyopita ya sasa na dunia ijayo
Kwenye soka Messi ni kama Jua kwenye Solar system
Messi ni wakipekee
Huwa natamani wakati mwingne aache kuchexa mpira coz sioni kama anaocheza nao wapo kwenye kiwango chake
Huwa natamani ningekuwa na mamlaka kisoka jina Messi lipewe umungu ili situmike vibaya kwa mfano fulani anafanana na Messi liwe ni kosa lajinai na afungwe kifungo cha maisha
Messi alishushwa kuja kulikomboa soka kwenye ngazi zote kijamii kitamaduni kiuchumi nk
Uwepo wake duniani kumewanufaisha watu wa kila rika
Viva Messi
Labda amshinde Messi kwa hereniCR7 anapewa sifa akati hata fainali ni kama hakucheza kabisa, na kuua soo akaamua ajifanye kocha benchi