Mary Chuwa
Senior Member
- Feb 24, 2011
- 177
- 40
Najua ni kipindi kigumu lakini kwa Uwezo wa Mungu mtayaweza yote.
Haikuniingia kirahisi akilini na moyoni,pindi nilipopata taarifa za msiba wa Kaka Mbogo.
Niliumia nilipokuja nyumbani na kumuona Merylin,Ebenezer na Ian kuwa baba yao Godwin a.k.a Mbogo hayupo tena.
Nimejifunza mengi sana toka kwake ni kaka ambaye alikuwa na moyo wa uthubutu na utoaji.
Mungu amlinde mjane Margreth na kumpa moyo wa ujasiri katika kipindi hiki kigumu.
Muwe pamoja naye kwa upendo,mkimsaidia ili kuhakikisha alivyoanzisha Mbogo pamoja na Mallya vinaendelea kustawi
Nawapa pole sana kwa msiba mlioupata.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.
Haikuniingia kirahisi akilini na moyoni,pindi nilipopata taarifa za msiba wa Kaka Mbogo.
Niliumia nilipokuja nyumbani na kumuona Merylin,Ebenezer na Ian kuwa baba yao Godwin a.k.a Mbogo hayupo tena.
Nimejifunza mengi sana toka kwake ni kaka ambaye alikuwa na moyo wa uthubutu na utoaji.
Mungu amlinde mjane Margreth na kumpa moyo wa ujasiri katika kipindi hiki kigumu.
Muwe pamoja naye kwa upendo,mkimsaidia ili kuhakikisha alivyoanzisha Mbogo pamoja na Mallya vinaendelea kustawi
Nawapa pole sana kwa msiba mlioupata.
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe.