Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,800
Mpira unadunda,mpira sio mbwembwe ,mpira ni mbinu.Simba wamecheza vzr sn lakini mwisho wa siku katolewa.Hatua hii ya mtoano ni hatua katili sn. Leo watu watatukana na kusema meeengi sn lakini kwetu wapenzi halisi wa mpira,maumivu km haya hutokea kila msimu.Simba tulieni,hakuna wa kulaumiwa si kocha wala wachezaji. Karibu sn matopeni mjiandae msimu ujao. Wanaume tumerudi kwenye kiti chetu. Hahaaaa