Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Habari wanajf, kama kawaida kuwetea kinachojiri,
Mimi ni Mwanachadema na kamanda mwerevu, kumbuka wapo baadhi ambao wao ndio walipelekea makamanda wote tuitwe nyumbu. Lakini ukweli ni kwamba tupo ambao sio nyumbu.
Mara kadhaa wanachadema ambao wana busara na weledi walishauri lissu afungwe spidi gavana, aache kutoa matamko ya chama bila ridhaa ya chama.
Jana Lissu akiwa kwenye interview alisema Chadema hawataingia bungeni wala kushirikiana na serikali kuanzia serikali kuu hadi za mitaa. Hayajapita masaa 24, leo tunashuhudia Wabunge wa viti maalum akiwepo Mwenyekiti Bawacha anaapa.
Hapa tafsiri yake ni kuwa Lissu hana taarifa zozote za chama na pengine hana mawasiliano na wenzake kwa kuwa kama angelijua linatokea leo basi jana asingeweza kutoa lile tamko. Tamko alibidi alitoe baada ya hawa wabunge kuapa.
Ni kuwa lissu hana watu wa intelijensia?
Pole sana Lissu, umeona ni jinsi gani hueshimiki ndani ya chama, kwa maana kama wangekuwa wanakuheshimu, basi misimamo yako wangeifuata sio tu kama lissu basi kama makamu mwenyekiti.
Lissu bado narudia kuangalia ile press yako ya jana nabaki kusema utavuna ulichopanda na ndio maana hata ukashindwa kuwaingiza watu barabarani.
Mimi ni Mwanachadema na kamanda mwerevu, kumbuka wapo baadhi ambao wao ndio walipelekea makamanda wote tuitwe nyumbu. Lakini ukweli ni kwamba tupo ambao sio nyumbu.
Mara kadhaa wanachadema ambao wana busara na weledi walishauri lissu afungwe spidi gavana, aache kutoa matamko ya chama bila ridhaa ya chama.
Jana Lissu akiwa kwenye interview alisema Chadema hawataingia bungeni wala kushirikiana na serikali kuanzia serikali kuu hadi za mitaa. Hayajapita masaa 24, leo tunashuhudia Wabunge wa viti maalum akiwepo Mwenyekiti Bawacha anaapa.
Hapa tafsiri yake ni kuwa Lissu hana taarifa zozote za chama na pengine hana mawasiliano na wenzake kwa kuwa kama angelijua linatokea leo basi jana asingeweza kutoa lile tamko. Tamko alibidi alitoe baada ya hawa wabunge kuapa.
Ni kuwa lissu hana watu wa intelijensia?
Pole sana Lissu, umeona ni jinsi gani hueshimiki ndani ya chama, kwa maana kama wangekuwa wanakuheshimu, basi misimamo yako wangeifuata sio tu kama lissu basi kama makamu mwenyekiti.
Lissu bado narudia kuangalia ile press yako ya jana nabaki kusema utavuna ulichopanda na ndio maana hata ukashindwa kuwaingiza watu barabarani.