Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,290
- 1,475
RIP Mr President
Hakika taifa uliloliongoza nila watu wanafiki.
Ajabu sana watu waliokuwa wanakupgia kampeni uongoze milele leo wanakusema vibaya kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
Ajabu sana kuona wale wanyonge uliowaongoza leo hawataki kuitwa mnyonge.
Bila hata aibu mpaka maendelo uliyaacha yameshakuwa kikwazo mengine wanasema kuwa hata stend ya magufuli itaweka foreni.
Lakini tu nakumbusha watanzania kumbukeni ya Libya, najua walibya saivi wanajuta kwanini walimpoteza Mohamed, wanasiasa wasije kuwaponza.
Hivi nyie ndo mlikuwa mnataka Magu atawale milele
Ni kweli nyie ndo mlimlilia wakat wa wa mauti
Duh kweli Watanzania wanafki, ndo maana mataifa mengine huwa hayawaaamni kwasababu ya unafki.
RIP THE WORLD PRESIDENT
Hakika taifa uliloliongoza nila watu wanafiki.
Ajabu sana watu waliokuwa wanakupgia kampeni uongoze milele leo wanakusema vibaya kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
Ajabu sana kuona wale wanyonge uliowaongoza leo hawataki kuitwa mnyonge.
Bila hata aibu mpaka maendelo uliyaacha yameshakuwa kikwazo mengine wanasema kuwa hata stend ya magufuli itaweka foreni.
Lakini tu nakumbusha watanzania kumbukeni ya Libya, najua walibya saivi wanajuta kwanini walimpoteza Mohamed, wanasiasa wasije kuwaponza.
Hivi nyie ndo mlikuwa mnataka Magu atawale milele
Ni kweli nyie ndo mlimlilia wakat wa wa mauti
Duh kweli Watanzania wanafki, ndo maana mataifa mengine huwa hayawaaamni kwasababu ya unafki.
RIP THE WORLD PRESIDENT