lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,681
Kama mke wake angekuwa hana kasoro asingehama nyumba kwenda kwa changudoa. Huyo mke inaonekana ni ile type ya wanawake ambao ukimkosea husamehewi hata miezi 6 au mwaka yaani gubu tu. Kitendo cha kuchukua shada la maua na kutupa yaan ni anaroho mbaya hatariChangudoa siku zote hana haki hata kama mume wa mtu kafia nyumbani kwako basi wewe ni selo tu maana ni muharibifu. Uliona wapi changudoa ana haki?
Ulishawahi kuishi nyumba yenye mke mwenye makelele???