KhaaaNasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.
Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae
Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae
Si Haba
Usishangaa cycle yake mulemule mjengoni.Khaaa
Hahaha aiseCatherine Magige mkimyaaa mwenyewe..... na hajawahi ishiwa na matukio ya mahusiano
Kumbe ndiyo maana nchi inaenda kama gari bovu. Kama wabunge ni watu wa sampuli hii tutegemee nini kutoka bungeni? Na hapo hujaweka kina Msukuma, Gwajima, Kibajaji, Tale etc. Bunge limekuwa kijiwe cha matapeli siku hizi.Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria 🙄
Nimekaa naye sana mitaa ya gardenHuyu Magige awali alikuwa mchepuko wa Mamvi kisha akahamia kwa Kagasheki sasa anamng'ang'ania hayati?
Lazima ana pepo huyu na hapo ukute waliomsindikiza ni wale Covid 19!
Hawa wabunge wa Ndugai wana kaugonjwa ka akili kama Jobo mwenyeweMsiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.
Marehemu Madoda amezikwa leo katika shamba lake eneo la Nduruma,ambapo katika mazishi hayo yaliyoratibiwa na ndugu wa marehemu Magige hakutakiwa kuingia kaburini na wapambe wake baada ya familia hiyo kueleza kwamba watakao ingia kaburini ni wachache.
Hata hivyo Mbunge Magige akiwa na kundi lake aliamua kuvamia kwa kuvunja lango la kuingilia ndani ya shamba Hilo na kufanikisha kushiriki mazishi kwa kuweka shada la maua kaburini.
Watu walipokuwa kwenye kaburi walijawa na taharuki kuona Mbunge huyo akiongoza kundi la wanawake kuingia ndani ya shamba ambako mwili wa marehemu ulizikwa.
Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.
Marehemu ameacha watoto watatu wa mke wake wa ndoa Aziza Msuya aliyefunga naye ndoa ya kikristu mwaka 2003mjini Dodoma.
We mzee malizia hapo kwenye aiseeHahaha nimekaa mtaa mmja na Cathy majirani kitambo sana
Kabla hajawa hata mb
Aise....
Ova
Kumbe Wabunge wetu sio Waadilifu...hawastahili kuwa Watungasheria wetu.Nasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.
Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae
Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae
Si Haba
Hata mbuzi ana mume ..mume wa mtu Nini mbona alikuwa anaishi nae?Aisee huyu shost na waume za watu damu damu, tangu enzi na enzi.
Leo we Muhehe umeonge point, big up kubwa. Kunywa ulanzi wa buku nitalipa.Huyu Magige awali alikuwa mchepuko wa Mamvi kisha akahamia kwa Kagasheki sasa anamng'ang'ania hayati?
Lazima ana pepo huyu na hapo ukute waliomsindikiza ni wale Covid 19!
Nimejaribu ku-google nikaona picha zake.... ahaa. Jamani nchi yetu imeoza. Watu wa aina hii wanafikaje bungeni? CCM wamefilisika kiasi hiki? Wabunge wa aina hii wanatoa ujumbe gani kwa kizazi cha kesho?Nimekaa naye sana mitaa ya garden
Enzi hizo ubunge bado hahah
Ngj tuishie hapa
Ova