Pokea pesa kutoka Paypal kuja M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money

Haja address tatizo bado kwasababu inaelekea hata chanzo cha tatizo hajakijua.
Tatizo ndio hilo paypal TZ hata malipo haipokei. Sasa unahamishaji pesa amnayo hujapokea
Aisee watanzania, hebu rudia kusoma nilichoandika ndugu, nimesema nafikiria kutengeneza sijasema kuwa tayari inawezekana
 
Aisee watanzania, hebu rudia kusoma nilichoandika ndugu, nimesema nafikiria kutengeneza sijasema kuwa tayari inawezekana
Shida ni PayPal wao kama wao kuondoa hiki kitu na ni pale kanuni za miamala zitakapobadilishwa nchi hii.
Sasa utawezaje kufanya PayPal TZ accounts zipokee pesa kwa kutengeneza mkuu?
 
Asante kwa wazo lako 🙏. Nategemea mapendekezo mengine kama haya. Kwa pamoja tutaweza.
Nimejaribu kuwaza hapa, nmna hiyo huduma yako itakanyofanya kazi. Ukiachana na vikwazo vya BoT, Takukuru, TRA etc.

Changamoto kubwa ni fee, tax na charge

1. Kutoa pesa kuziweka kenye iyo system (huduma yako) paypal watakata [fee + vat + charge]

2. Pesa zikisha fika kwenye system yako, mtu kutoa hizo pesa ziende kwenye mpesa au tigo pesa wewe utakata [fee + vat + charge]

3. Pesa zikifika tigo pesa au mpesa mtu kuzitoa azipate cash mkononi hapa atakatwa tena [fee + vat + charge + kodi ya uzalendo ]

Yani njinsi hizo tozo no kozi zitakanyo kua. ukiwa una elf 10 paypal mpaka uje upokee cash mkononi kwa hiyo system hapi juu utapata elf 4

Sisajua utatumia system gani lkn, mm naona ni changamoto labda utumia mfumo kama wa selcom.

Jisajili kama fintech firm. Tengeneze e wallet.
Mtu aki transfer kutoka paypal ana deposit kwenye e wallet yake (hapa iyo e wallet ipo kwenye mfumo wako) alafu aweze kufanya withdrawal direct kwenye wallet yake kuwe hamna haja ya kutuma kwenda mpesa au tigo pesa. Ukifanya hivi hadi mm nitakua mteja wako

Lkn hayo mambo ya tozo no kodi aise hapana
 
Wazo lako ni zuri sn na utakapofanikiwa tu Naomba unitonye mkuu maana binafsi nimeshapigania sn issue ya PayPal bila mafanikio. Kimsingi tuko wengi tu tunaotamani huduma ya PayPal nchini. Kikwazo ni viongozi wetu tuliowachagua wenyewe. Viongozi wa serikali hii hawana uelewa juu ya biashara za mtandaoni. Kwao wao wanaposema suala la fursa kwa vijana wanaangazia zaidi machinga, bodaboda, mama ntilie na biashara ndogondogo za bidhaa za kusindika.
Nirudi kwako, kwa kuanzia Si itabidi awali ya yote uwafikishie wazo lako hili BOT? BOT hii hii ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo miaka yote hii imetugomea kutusikiliza! Aisee watakuelewa kweli?
Labda tuvizie siku Mama anafanya uzinduzi mahali tuwape dili mtu2/3 waende na bango.
 
Wadau, Naona fursa za uchumi zinazidi kukua na Kuna dalili za mabadiliko makubwa ktk nyanja ya biashara za kimataifa. Vipi hili suala letu? Kuna mwenye kujua ni lini mama atatusikiliza nasi? Msaada wako Pascal Mayalla tafadhal. Neno lako ni lenye kusikilizwa na wengi mkuu
 
Wazo lako ni zuri sn na utakapofanikiwa tu Naomba unitonye mkuu maana binafsi nimeshapigania sn issue ya PayPal bila mafanikio. Kimsingi tuko wengi tu tunaotamani huduma ya PayPal nchini. Kikwazo ni viongozi wetu tuliowachagua wenyewe. Viongozi wa serikali hii hawana uelewa juu ya biashara za mtandaoni. Kwao wao wanaposema suala la fursa kwa vijana wanaangazia zaidi machinga, bodaboda, mama ntilie na biashara ndogondogo za bidhaa za kusindika.
Nirudi kwako, kwa kuanzia Si itabidi awali ya yote uwafikishie wazo lako hili BOT? BOT hii hii ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambayo miaka yote hii imetugomea kutusikiliza! Aisee watakuelewa kweli?
Labda tuvizie siku Mama anafanya uzinduzi mahali tuwape dili mtu2/3 waende na bango.
Ngoja tumuombe mangekimambi atusadie ku push hili
 
Hivi kuna mtu aliewahi kufanikiwa kutoa pesa kutoka paypal kwa kutumia website ya Xoom aka-ingiza direct kwenye airtel money m-pesa halopesa au tigo pesa?
kama jibu ni ndio ebu ni-PM
 
Back
Top Bottom