Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,127
- 11,908
Kuna hii WISEHivi Kuna jipya lolote?
Kuna hii WISEHivi Kuna jipya lolote?
Sasa itapendezaje wakati wadau wanasema haiwezekani?Itapendeza...
Hebu tafadhali fafanua mkuuBinafsi sijawahi pata issues zozote na PayPal kupita Absa Bank Tanzania
Ukapokea pesa? Paypal tz tu haipokea funds sasa wewe hata hizo funds unazopokeaje mpaka uziwithdraw via absa bank?Binafsi sijawahi pata issues zozote na PayPal kupita Absa Bank Tanzania
Kwani mkuu ile acc yako waliifunga?Hebu tafadhali fafanua mkuu
Ile account hawakuifunga ila siwezi tena kuitumia kutuma wala kupokea pesa. Pesa yangu waliniambia ninaweza kuwithdraw ila sasa ile line ya safaricom yenye nilikuwa nimejisajilia kwayo ikawa imeExpire tayari so pesa yangu kibao ikapotea. Ila ninayo line ya safaricom nyingine ambayo naendelea nayo vzr na miamala yangu. Na kila mara ninafanya top up ili nayo isije ikiEpire. Nawashukuru sn safaricom aiseeKwani mkuu ile acc yako waliifunga?
Kutop up muhimu na ukichelewa top up inabidi utop up kwa vocha za kukwanguaIle account hawakuifunga ila siwezi tena kuitumia kutuma wala kupokea pesa. Pesa yangu waliniambia ninaweza kuwithdraw ila sasa ile line ya safaricom yenye nilikuwa nimejisajilia kwayo ikawa imeExpire tayari so pesa yangu kibao ikapotea. Ila ninayo line ya safaricom nyingine ambayo naendelea nayo vzr na miamala yangu. Na kila mara ninafanya top up ili nayo isije ikiEpire. Nawashukuru sn safaricom aisee
Uko sahihi aisee. Ubize ulinisahaulisha. Sasa ni lini serikali yetu itaanzisha mchakato wa PayPal? Usumbufu na hizi hasara tunazozipata vinaumiza snKutop up muhimu na ukichelewa top up inabidi utop up kwa vocha za kukwangua
Sidhan kama huo mchakato utakuwepo maana kama hadi wanawaza kuongeza tozo kwenye bundleUko sahihi aisee. Ubize ulinisahaulisha. Sasa ni lini serikali yetu itaanzisha mchakato wa PayPal? Usumbufu na hizi hasara tunazozipata vinaumiza sn
uhakika mkuu tena ukipata hio laini ya safaricom uka-link m-pesa kwenye paypal ukaangalia jinsi ya ku-verify hata kwa kutumia details fake ukawa verified ili upokee pesa kwa kiwango chochote hata 3000$ utaona utamu wa maisha..asikwambie mtuIle account hawakuifunga ila siwezi tena kuitumia kutuma wala kupokea pesa. Pesa yangu waliniambia ninaweza kuwithdraw ila sasa ile line ya safaricom yenye nilikuwa nimejisajilia kwayo ikawa imeExpire tayari so pesa yangu kibao ikapotea. Ila ninayo line ya safaricom nyingine ambayo naendelea nayo vzr na miamala yangu. Na kila mara ninafanya top up ili nayo isije ikiEpire. Nawashukuru sn safaricom aisee
Kindly nipe connection napataje line ya Safaricom?uhakika mkuu tena ukipata hio laini ya safaricom uka-link m-pesa kwenye paypal ukaangalia jinsi ya ku-verify hata kwa kutumia details fake ukawa verified ili upokee pesa kwa kiwango chochote hata 3000$ utaona utamu wa maisha..asikwambie mtu
Nimei link line yangu ya safaricon na my PayPal account juzi tu hapa,nataka niijaribu kwanza kama inafanya kazi.Ile account hawakuifunga ila siwezi tena kuitumia kutuma wala kupokea pesa. Pesa yangu waliniambia ninaweza kuwithdraw ila sasa ile line ya safaricom yenye nilikuwa nimejisajilia kwayo ikawa imeExpire tayari so pesa yangu kibao ikapotea. Ila ninayo line ya safaricom nyingine ambayo naendelea nayo vzr na miamala yangu. Na kila mara ninafanya top up ili nayo isije ikiEpire. Nawashukuru sn safaricom aisee
Msaada wapi naweza kupata like ya SafaricomNimei link line yangu ya safaricon na my PayPal account juzi tu hapa,nataka niijaribu kwanza kama inafanya kazi.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
ZinauzwaMsaada wapi naweza kupata like ya Safaricom
Nahitaji, naomba nilink mkuu, hata DM Kama hutojali
kuna jamaa anaitwa tomaa mireni yupo arusha anauza 10k au 15k tena imesajiliwa..Kindly nipe connection napataje line ya Safaricom?
Mkuu naomba unisaidie namba zake kama unazo PM, mimi nipo arushakuna jamaa anaitwa tomaa mireni yupo arusha anauza 10k au 15k tena imesajiliwa..
Natumia smart kitochi haiwezi ku-pm lakini For more infomation please follow me on facebook @nembo ya mtaa nitaku-bless...