Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,461
- 39,928
Kamati Kuu ya CHADEMA inapokutana katika siku hizi mbili ikitoka na tamko jingine la kuiomba serikali au kuitaka serikali ifanye a, b na c utakuwa ugomvi.
Ije na muongozo kwa viongozi wake, iweke mwelekeo wa wazi wa mabadiliko ndani ya chama, na ikamilishe nidhamu. CDM haiwezi kwenda katika uchaguzi mkuu wa 2015 au wa serikali za mitaa wa 2014 ikiwa na migawanyiko ya ajabu na ikiendeleza siasa za kucheza zero distance na CCM.
Wasipokuja na mwelekeo mzuri wa kujenga chama na kukiimarisha na mwitikio wa kisera dhidi ya mashambulizi ya CCM kuna watu itabidi tuwaite wajiuzulu nafasi zao CDM.
Imetosha kutoa matamko yenye malalamishi na yenye kutujulisha kitu ambacho karibu wote tunakijua. Tunataka tuone CDM ikianzisha mabadiliko ya ndani ya muundo wake ili kiweze kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu...
Ije na muongozo kwa viongozi wake, iweke mwelekeo wa wazi wa mabadiliko ndani ya chama, na ikamilishe nidhamu. CDM haiwezi kwenda katika uchaguzi mkuu wa 2015 au wa serikali za mitaa wa 2014 ikiwa na migawanyiko ya ajabu na ikiendeleza siasa za kucheza zero distance na CCM.
Wasipokuja na mwelekeo mzuri wa kujenga chama na kukiimarisha na mwitikio wa kisera dhidi ya mashambulizi ya CCM kuna watu itabidi tuwaite wajiuzulu nafasi zao CDM.
Imetosha kutoa matamko yenye malalamishi na yenye kutujulisha kitu ambacho karibu wote tunakijua. Tunataka tuone CDM ikianzisha mabadiliko ya ndani ya muundo wake ili kiweze kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu...