kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,707
- 20,606
mimi mwanaume kama baba ako.We hupendi kuolewa. Au umri bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi mwanaume kama baba ako.We hupendi kuolewa. Au umri bado?
Juzi kati nilikuwa naangalia kipindi cha Bartender cha Wasafi TV Maulid Kitenge akiwa mgeni. Akaulizwa anatumia sh ngapi kwa siku, eti akatoa mfukoni bulungutu la milioni moja. Jamani hizi si kufuru hizi kwa usawa huu wa Magu. Kakangu kitenge acha dharau ukizingatia una ndugu zako wazaramo kibao hawana mbele wala nyuma