Uzalendo Installer JF-Expert Member Nov 8, 2014 5,362 8,835 Sep 27, 2021 #21 Kwanza Tuonyesheni vituo vinavyojengwa kwa TOZO. Alafu mtuonyeshe vya POCHI
pakaywatek JF-Expert Member Dec 28, 2014 4,636 6,261 Sep 27, 2021 #22 Tozo tutozwe sisi ummy adai ni pochi ya Samia?
K kinje ketile JF-Expert Member Dec 12, 2015 4,273 8,274 Sep 27, 2021 #23 Hili pochi Lingekuwa linatokana Maliasili zetu Kama Madini,Gesi,Chuma Liganga, n.k . Lakini Sio Kwa Hii Dhulumati Ya Tozo Za Miamala......!
Hili pochi Lingekuwa linatokana Maliasili zetu Kama Madini,Gesi,Chuma Liganga, n.k . Lakini Sio Kwa Hii Dhulumati Ya Tozo Za Miamala......!
Munambefu JF-Expert Member Jun 24, 2012 2,608 6,503 Sep 27, 2021 #24 Kwa niaba ya wananchi wa Kata ya kibosho Mashariki naomba mama usituletee zahanati bali wahudumu na vifaa tiba Katika zahanati zilizopo inatosha. Serikali Imekuwa na mtazamo wa kipuuzi wa kufikiri huduma ni majengo, utasikia madarasa na majengo ta vituo vya Afya lakini wahudumu na vifaa Hakuna.
Kwa niaba ya wananchi wa Kata ya kibosho Mashariki naomba mama usituletee zahanati bali wahudumu na vifaa tiba Katika zahanati zilizopo inatosha. Serikali Imekuwa na mtazamo wa kipuuzi wa kufikiri huduma ni majengo, utasikia madarasa na majengo ta vituo vya Afya lakini wahudumu na vifaa Hakuna.