PNU vs ODM agreement

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,873
Please get your copy if interested to know what was agreed and how. We wish all Kenyans the best outcome from these agreements.

Sorry for bringing this late as we were facing some probs that were beyond our controls and now back to serve you as we always wanted to.

United we stand!

Invisible
For JF Administration
 
Asante sana Invisible,
hii copy nimekua nikiitafuta lakini once again you have
come through.For now we are waiting to see kama this thing
will come to fruition!Asante mufti!
 
For now we are waiting to see kama this thing will come to fruition!Asante mufti!
Na ndio maana nikaonelea vema tuwe nayo ili kujua kama makubaliano haya yatatekelezwa na pande zote. Tunawatakia wenzetu mafanikio katika kurejelea amani nchini mwao
 
Mbona Signature ya raila ndo iko kushoto? Ndo kusema yeye ndo alipewa uzito kwanza?

AU sehemu ya kusign haiimpy chochote? Nimezoea kuona mwenye rank ya juu ndo space yake inakuwa kushoto!
 
Kilichonifurahisha ni huo mswada wa sheria ambao naona ni ngumi ya usoni kwa Kibaki na Karua ambaye alipambana kwa nguvu zote kuhakikisha kwamba ODM hawapati nafasi ya Executive PM. Sasa kama atabaki kwenye cabinet ajue wazi kwamba atatakiwa ku-report kwa Raila.

Mswada ni kitanzi kwa Kibaki kwa kuwa anajua wazi kwamba akim-frustrate Raila, ajue wazi kwamba ODM watajitoa kwenye coalition na hivyo ngoma itawekwa kati na hawezi kupata kitu tena. Maana ECK hawatarudia ujinga waliofanya mwaka jana kwa kuwa kasheshe yake wanaifahamu. Yaani Kibaki hana ujanja kabisa, inabidi atulie kama ananyolewa kwa wembe ama chupa maana akijitikisa kidogo tu ajue kwamba wembe utamkata!

Je, Kibaki kuonekana kanisani bila ya wapambe wake siku ya jumapili iliyopita ni dalili kwamba washikaji wake wa karibu wameanza kumtosa? Kama wamemtosa, je, hatima ya PNU ni nini? Is this the end of GEMA regime/era?

PNU wana hali ngumu sana na especially wale ambao walikuwa ni hardliners kama Michuki, Kimunya na Karua. Sijui watawezaje kufanya kazi na Raila ambaye walikuwa wanamsema vibaya plus some other Pentagon members ambao watakuwa kwenye cabinet.

Nina hamu sana ya kusikia msimamo mkali wa mtu kama Danson Mungatana ambaye nadhani alikuwa anahisi kwenye kujaza mapengo angekumbukwa na kupewa nafasi. Lakini ndoto hiyo sasa haipo tena.

Mtihani mgumu ni kwa Kibaki, je, atawabeba KANU na ODM-K? Ili kuwabeba kwenye coalition yake lazima awape nafasi za uwaziri ama naibu waziri. Ili hivyo vyama vingine (KANU na ODM-K) vipate mawaziri lazima baadhi ya washikaji kutoka GEMA watemwe, je ataweza kuwatema???????
 
Kilichonifurahisha ni huo mswada wa sheria ambao naona ni ngumi ya usoni kwa Kibaki na Karua ambaye alipambana kwa nguvu zote kuhakikisha kwamba ODM hawapati nafasi ya Executive PM. Sasa kama atabaki kwenye cabinet ajue wazi kwamba atatakiwa ku-report kwa Raila.

Mswada ni kitanzi kwa Kibaki kwa kuwa anajua wazi kwamba akim-frustrate Raila, ajue wazi kwamba ODM watajitoa kwenye coalition na hivyo ngoma itawekwa kati.vuruga makubaliano halafu ODM waka-walk out of coalition ajue wazi kwamba ngoma ikiwekwa kati hawezi kupata kitu tena. Maana ECK hawatarudia ujinga waliofanya mwaka jana kwa kuwa kasheshe yake wanaifahamu. Yaani Kibaki hana ujanja kabisa, inabidi atulie kama ananyolewa kwa wembe ama chupa maana akijitikisa kidogo tu ajue kwamba wembe utamkata!

Je, Kibaki kuonekana kanisani bila ya wapambe wake siku ya jumapili iliyopita ni dalili kwamba washikaji wake wa karibu wameanza kumtosa? Kama wamemtosa, je, hatima ya PNU ni nini? Is this the end of GEMA regime/era?

PNU wana hali ngumu sana na especially wale ambao walikuwa ni hardliners kama Michuki, Kimunya na Karua. Sijui watawezaje kufanya kazi na Raila ambaye walikuwa wanamsema vibaya plus some other Pentagon members ambao watakuwa kwenye cabinet.

Nina hamu sana ya kusikia msimamo mkali wa mtu kama Danson Mungatana ambaye nadhani alikuwa anahisi kwenye kujaza mapengo angekumbukwa na kupewa nafasi. Lakini ndoto hiyo sasa haipo tena.

Mtihani mgumu ni kwa Kibaki, je, atawabeba KANU na ODM-K? Ili kuwabeba kwenye coalition yake lazima awape nafasi za uwaziri ama naibu waziri. Ili hivyo vyama vingine (KANU na ODM-K) vipate mawaziri lazima baadhi ya washikaji kutoka GEMA watemwe, je ataweza kuwatema???????


Mhhh...Keil maswali magumu hayo. Yaani nikiyafikiria nerve zinapata baridi. Sijui KARUA NA WENZAKE WATAJIFICHA WAPI, akina Uhuru na wenzake maana kama cabinet ni 50%-50% wafuasi wengi wa Kibaki watatemwa...what I see the likes of Mudavadi and Ruto have a bright future in Kenyan Politics. But as we all know, politics is the art of compromise! Yote yanawezekana.

Tuwatakie kheri.
 
Mbona Signature ya raila ndo iko kushoto? Ndo kusema yeye ndo alipewa uzito kwanza?

AU sehemu ya kusign haiimpy chochote? Nimezoea kuona mwenye rank ya juu ndo space yake inakuwa kushoto!

Hahaha!!!...Ndume wewe
U are now going into aesthetics of space!!
Raila amepata mamlaka aliokua anataka na wakenya
wote wanataka hivyo!!!
 
Na ndio maana nikaonelea vema tuwe nayo ili kujua kama makubaliano haya yatatekelezwa na pande zote. Tunawatakia wenzetu mafanikio katika kurejelea amani nchini mwao

Invisible,
Guess what?..nd'o yaliotokea 2002 ambapo Kibaki aliingia
agreement na kina Raila kisha akawatema.This man is not
trustworthy no more and we have to have everything out in
the open.Unajua this guy can turn around and say he did not
sign an agreement ama the agreement did not contain pointers
on power sharing.Thats how hard it is to spread democracy in
Kenya....Mie husema haidhuru Bongo mara mia despite our
challenges.
Kwa hivyo I hope this thing works out for Kenya and to a
larger extent the wider East Africa Community.Bado M7 naye
abishiwe hodi hapo kwake.
 
Mhhh...Keil maswali magumu hayo. Yaani nikiyafikiria nerve zinapata baridi. Sijui KARUA NA WENZAKE WATAJIFICHA WAPI, akina Uhuru na wenzake maana kama cabinet ni 50%-50% wafuasi wengi wa Kibaki watatemwa...what I see the likes of Mudavadi and Ruto have a bright future in Kenyan Politics. But as we all know, politics is the art of compromise! Yote yanawezekana.

Tuwatakie kheri.

Ukweli ni kwamba the careers of some of these people
will go down the drain...mathalani..Kalonzo na Karua!
She put pride before a fall or the interests of the
nation.Wala hujakosea kusema kua the careers of the likes
of Mudavadi na Ruto are about to explode to greater heights!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom