OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,637
Akiongea na wafanyabiashara akimwakilisha Rais John Pombe Magufuli,Waziri Mkuu Majaliwa amewaambia wafanya biashara kwamba Tanzania ni sehemu sahihi ya kuwekeza kwa sababu imejaa amani na imara kisiasa.
Waziri mkuu amesisitiza kuwa Tanzania ina political stability hivyo ni sehemu rafiki sana kwa wafanya biashara kuwekeza kwani watafanya biashara zao kwa amani kijamii na kisiasa
Nini maoni yako
Waziri mkuu amesisitiza kuwa Tanzania ina political stability hivyo ni sehemu rafiki sana kwa wafanya biashara kuwekeza kwani watafanya biashara zao kwa amani kijamii na kisiasa
Nini maoni yako