misnomer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 200
- 69
1. Ni Morgan Tsvangirai wa Zimbabwe
2. Adai chanzo cha yeye kuingia mitini ni "kuingiliwa na vyombo vya usalama"
3. Akubali kutoa faini ya ng'ombe
4. Apata jiko jingine jipya
5. Aliyeachwa apata mshtuko, apata miscarriage
6. Aenda mahakamani kupinga ndoa mpya ya ex-hubby
2. Adai chanzo cha yeye kuingia mitini ni "kuingiliwa na vyombo vya usalama"
3. Akubali kutoa faini ya ng'ombe
4. Apata jiko jingine jipya
5. Aliyeachwa apata mshtuko, apata miscarriage
6. Aenda mahakamani kupinga ndoa mpya ya ex-hubby
Mke aliyeachika, Locardia Karimatsenga Tembo
Jiko jipya, Elizabeth Macheka