Wakuu salaam!
Kuna uncle wangu anateseka sana kwa ugonjwa ambao kimsingi haujafahamika kwa familia. Hata hivyo, baada ya mimi mwenyewe kufuatilia kwa karibu nikagundua kuna ugonjwa unaoitwa HALLUCINATION ambao unalandana sana na matatizo yanayomkuta uncle wangu!!! Kimsingi, mara nyingi uncle wangu wakati mmekaa mnapigwa story, utakuta anakuambia kuna mtu kamsikia akisema jambo fulani, ambalo mara nyingi huwa linasemwa dhidi yake! Si hivyo tu, wakati mwingine atavunja maongezi na kusema kuna mtu wakati kiukweli kunakuwa hamna mtu yeyote wala sauti yoyote! Hii ni kwamba huwa anasikia na kuona vitu ambavyo havi-exist! Baada ya kufuatilia sana, ndipo nikagundua huo ugonjwa uitwao HALLUCINATION!!!! So, wataalamu wenye uelewa kuhusu huu ugonjwa naomba wanifafanulie vizuri kuhusu ugonjwa huu! Aidha, ningependa kuifahamu endapo kuna tiba na tiba yake(including) gharama zake zinaweza kuwa vipi!!!
PLZ, help manake uncle wangu anataabika sana kiasi cha wakati mwingine kuharibu personality yake kv anaweza kukaa na mtu na kumshutumu kwamba kamsema vibaya wakati sio!!!
Kuna uncle wangu anateseka sana kwa ugonjwa ambao kimsingi haujafahamika kwa familia. Hata hivyo, baada ya mimi mwenyewe kufuatilia kwa karibu nikagundua kuna ugonjwa unaoitwa HALLUCINATION ambao unalandana sana na matatizo yanayomkuta uncle wangu!!! Kimsingi, mara nyingi uncle wangu wakati mmekaa mnapigwa story, utakuta anakuambia kuna mtu kamsikia akisema jambo fulani, ambalo mara nyingi huwa linasemwa dhidi yake! Si hivyo tu, wakati mwingine atavunja maongezi na kusema kuna mtu wakati kiukweli kunakuwa hamna mtu yeyote wala sauti yoyote! Hii ni kwamba huwa anasikia na kuona vitu ambavyo havi-exist! Baada ya kufuatilia sana, ndipo nikagundua huo ugonjwa uitwao HALLUCINATION!!!! So, wataalamu wenye uelewa kuhusu huu ugonjwa naomba wanifafanulie vizuri kuhusu ugonjwa huu! Aidha, ningependa kuifahamu endapo kuna tiba na tiba yake(including) gharama zake zinaweza kuwa vipi!!!
PLZ, help manake uncle wangu anataabika sana kiasi cha wakati mwingine kuharibu personality yake kv anaweza kukaa na mtu na kumshutumu kwamba kamsema vibaya wakati sio!!!