FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #61
yaani kuna vitu vyengine vidogo kweli watu wana complicate
utashindwaje ku deal na mumeo kwenye jambo dogo kama hilo?
utarudi kwenu utawaambia ambia vipi wazee? hamna sababu hata moja ya msingi
Hivi maana ya Gubu ni nini maana huyu dada kanambia kwa kifupi mme wangu ana gubu ..