Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Kimepimwa?? Yaan hati ipo?
mwambie kuna 5m iko mfuko wa shati hapa.Bado kipo
KIWANJA kinapatikana BUNJU 'A'
ukubwa wa kiwanja ni sqm 600 (30*20)
Kipo tambarare chote.
Umbali kutoka BAGAMOYO road ni 1.5m
Kiwanja kina hati miliki.
Bei: 18m
Contact: 0785 857564
View attachment 1266214View attachment 1266215View attachment 1266216
Kiwanja kinapatikana tegeta madale
Km 5 kutoka mataa ya njia ya kwenda kiwanda cha twiga cement.
Kipo kituo cha Contena.
MAELEZO
kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.
Ukubwa ni sqm 1600.
Kiwanja chote ni tambarare na kipo kwenye mtaa mzuri.
Bei: 30m
More inquiries: 0756 832833View attachment 971400View attachment 971401View attachment 971402View attachment 971403View attachment 971404
Kwema, ndugu!
Kimeuzwa mda mrefu.
Ukihitaji kipo kingine. TEGETA Wazo.
Sqm 1015 (full titled)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia ardhi huwa inapanda thamani kadri siku zinavyoenda! Hiki kiwanja chako uliktangaza miezi 14 iliyopita; sasa na chenyewe kishapanda thamani au bado ile ile ya Nov 2019?Available