Plot4Rent Tunauza Mashamba na Viwanja

Kiwanja kinapatikana kitunda karibu na kanisa katoliki (RC)
Umbali wa km 3.5 kutoka banana (nyerere road)
Umbali wa meter 200 kutoka KITUNDA road
Kimezungushiwa michongoma
Kina meter 25*25 (sqm 625)
Miundombinu mizuri (maji, barabar etc)
Bei: 15m




IMG_20190928_102027.jpeg
IMG_20190928_102052.jpeg
IMG_20190928_102213.jpeg
IMG_20190928_102500.jpeg
IMG_20190928_102109.jpeg
IMG_20190928_102217.jpeg
 
KIWANJA kinapatikana BUNJU 'A'
ukubwa wa kiwanja ni sqm 600 (30*20)
Kipo tambarare chote.
Umbali kutoka BAGAMOYO road ni 1.5m
Kiwanja kina hati miliki.
Bei: 18m
IMG-20191118-WA0015.jpeg
IMG-20191118-WA0017.jpeg
IMG-20191118-WA0016.jpeg
 
Kiwanja kinapatikana tegeta madale
Km 5 kutoka mataa ya njia ya kwenda kiwanda cha twiga cement.
Kipo kituo cha Contena.

MAELEZO
kiwanja kimepimwa na kina hati miliki.
Ukubwa ni sqm 1600.
Kiwanja chote ni tambarare na kipo kwenye mtaa mzuri.
Bei: 30m
More inquiries: 0756 832833View attachment 971400View attachment 971401View attachment 971402View attachment 971403View attachment 971404

Kwadilo,

Salaam. Tafadhali nifahamishe kama kiwanja hiki bado kinapatikana nione namna tunavyoweza kukiona na tuongee bei tufanye biashara. Nimejaribu kukupigia asbh hii lakini simu yako haipatikani. Nimekupigia kwa namba ya airtel inayoishia na 62. Kama ukipata notification kuwa namba hiyo ilikupigia tafadhali nicheki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom