mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Pole Sana! Nilifikiri ungejivunia kuwa Prof Lumumba ni mkenya!! Ni bahati mbaya kuwa wakenya wengi hawajui kuwa huyu ni hazina na zawadi kubwa Sana si kwa kenya tu Bali kwa Afrika yote!! Kwa bahati mbaya Sana watu waadilifu na wazalendo kama Lumumba hawana nafasi kwenye Taifa lenye mwelekeo wa kibepari kama kenya. Natamani angekuwa kwetu tungempa nafasi iliyo wazi kwa sasa!Kajaliwa kipaji cha kuongea kama Waafrika wengine, ila hakana lolote. kanafiki tu