secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Ww hizo Acounts zote unazijua!!???PLO ni Mzushi tu ,anajua accounts zote za JIWE? Kwani Chato Airtport haipo? Burigi Park? Shamba Pori la Santos halipo?
hizo zote ulizotaja hapo ni mali za wananchi sio za Magufuli......
au kwa akili yako fupi ulijua ni mali binafsi za Magufuli?